Proof: Binadamu alitengenezwa na Aliens


[emoji5][emoji5][emoji5][emoji5]
 
Nimekupata vema,, But, all in all I have to read them. Nimefanikiwa kuvipata vyote hapo. Kipi chafaa kuanza nacho?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao Aliens wanaidadi ya wanadamu ambao wanajishughulisha kutafuta hayo madini?

Maana ni asilimia ndogo tu inayojishughulisha na utafutaji wa hayo madin.

Hawaoni kama wao ndio waliowaumba binadamu wengi kwa kwa ajili ya kazi yao walipoteza muda wao?
Maana wengi wetu tuko bize na mapenziiiii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mm nimeisoma lakini bado sijaona hiyo "Proof" au "Evidence" kuwa tulitengenezwa na Aliens. Umeelezea tu DNA ilivyo na kuwa na non-functional genes sio ushahidi kuwa Aliens ndio wameetuumba. Kutojua non-coding genes zina kazi gani sio kwamba hazina kazi..ni kwamba bado wavumbuzi hawajajua kazi yake kwa sasa.

Na hiyo rhesus factor negative ndio Dah hamna hata uwiano na Aliens lututengeneza kwa taarifa uliyotoa.
Sasa na hizo Empire za Aliens walizopigana na kudondosha madini Duniani kuna proof gani kwenye hilo? Nani aliwaona wakipigana? alijuaje walipigana? kuna ushahidi gani kuwa hayo madini yalianguka?kwamba kumeonekana mashimo makubwa yenye madini Duniani? maana kama yalianguka kungekuwa na Impact kwenye tabia nchi ya maeneo husika kama ambavyo vimondo vinavyodondoka..

Enewei bado hapo hujaweka "Proof" kuwa tulitengenezwa na Aliens kama kichwa cha habari cha makala yako kinavyosema
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…