Toosie Slide
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 788
- 962
Safi sana mkuu...ila muache ahangaike nayo kwanza hiyo naamini ataanza kuona hisia tofauti na mazingira mengi atayaona kama sio rafiki tena but akizoea atajiona hero kinyama...ukweli ndo huo...kuna sehemu ataona kabisa illusion inabadilika na kuwa reality....
he will be able to view things in two planes of dimensions..
Ndo atajua kuwa mambo yote anayoyaona ni Ilusion 100% hakuna reality hapo na hapo ndo atajua kuwa kumbe kuna maisha nyuma ya pazia na faida yake ataijua pia...
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakala hizi hapa Mkuu. Copyright was not renewed kwa maana hiyo ni free public domain.View attachment 992389View attachment Manly-P.-Hall-The-Secret-Teachings-Of-All-Ages-2.pdfView attachment 992388Mkuu Kama una soft copy ya hivi vitabu naomba uviweke ili tupate maarifa zaid
Nakala hizi hapa Mkuu. Copyright was not renewed kwa maana hiyo ni free public domain.View attachment 992389View attachment 992390View attachment 992388
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu naomba nielekeze namna ya ku tag ktk post. Ule uzi wa religion unakaribia kuwa tayari.
...ngoja wajuzi watuelekeze mkuu...coz hata mimi sijui kiongozi.Mkuu naomba nielekeze namna ya ku tag ktk post. Ule uzi wa religion unakaribia kuwa tayari.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukijua jinsi ya kutag na mimi mkuu usinisahauMkuu naomba nielekeze namna ya ku tag ktk post. Ule uzi wa religion unakaribia kuwa tayari.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukikamilisha Usisahau kunitag pia.Mkuu naomba nielekeze namna ya ku tag ktk post. Ule uzi wa religion unakaribia kuwa tayari.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekupata vema,, But, all in all I have to read them. Nimefanikiwa kuvipata vyote hapo. Kipi chafaa kuanza nacho?Ndugu yangu kabla sijakupa list hii nakutahadharisha kuwa unaweza ukaharibu mfumo wako wa fikra juu ya wanadamu au Mungu utakapo soma chochote kati ya vitabu hivi, utaharibu mfumo wako wa maisha pamoja na Imani kwa ujumla.
1. The Secret Teachings of All Ages by Manly P. Hall.
2. The Secret Doctrine By Helena P. Blavatsky.
3. The secret wisdom by Annie Besant, Theosophical Society publishers.
4. Isis Unveiled " The Master Key to the Mysteries of Ancient and Morden Science and Technology, Volume 1&2
Nafkiri itakuchukua mwaka mzima kusoma hivi vitabu mpaka uvimalize.
Sent using Jamii Forums mobile app
Secret Teachings of All AgesNimekupata vema,, But, all in all I have to read them. Nimefanikiwa kuvipata vyote hapo. Kipi chafaa kuanza nacho?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu naomba nielekeze namna ya ku tag ktk post. Ule uzi wa religion unakaribia kuwa tayari.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo kwenye @ unaacha space alafu ndo jina?Mkuu ukitaka kum tag mtu ni Kama kwenye social networks nyingine tu ; inaanza @ alafu jina la mtu
Kama huyo mtu Ana majina mawili unaandika Kama lilivo
@lifecodedMkuu ukitaka kum tag mtu ni Kama kwenye social networks nyingine tu ; inaanza @ alafu jina la mtu
Kama huyo mtu Ana majina mawili unaandika Kama lilivo