Nitaidharau saana serikali wasipoleta mpinzani wao...yaani huduma imekuwa mbovu saana..its simple udart apewe mlango mmoja na mpinzani wake apewe mwingine..tatizo la kukaa kituoni dakika 20 au nusu saa ni ujinga mkubwaShithole management. Yuko mhaya pale kwa menejiment ananuka mdomo kama papuchi huku kampuni inakufa. No kujiongeza. Eti wameenda mahakamani wasiletewe mpinzani. Shit
Wasukuma wale wote. Ndio maana limepuyangaUDART hamna mtanzania, ni full wahutu
tuchukulie lita 1 ni kilometa 4! lile lori kubwavla UDA linabeba watu 200! 650 x 200 ni 130,000! na kw km 15 katumia lita 4 haifiki elfu 10!Umenena vema, na kikubwa kitakachowaua mapema ni kuondolewa washindani!
Watashindwa kbs kuwa wabunifu, Wateja tunashuhudia Huduma mbovu kbs na ni vile tu hatujui ndani kuna nn,
1: Yale magari wanayotumia yanatumia diesel kiasi gani kwa km 1!?
2: kiasi cha diesel kinachotumika na Pesa inayopatikana vinawiana!? MF: daladala LA kawaida likitumia Mafuta ya 120,000 huwa jumla linategemewa limeingiza around 350,000. Ambapo mwenyenalo anapata around 140, au 150,000. Kinachobaki ni posho ya dereva na konda, hii ni kwa Eicher na Tata za milango miwili.
3: na huenda wamepigwa kwa kupewa injini zenye matumizi makubwa ya Mafuta tofauti na kinachopatikana.
Eti usiku hakuna usafiri, sijui watz hawatakiwi kufanya kazi usiku!!
Kwa hulka ya mtu mweusi hasa mtanzania, kitendo cha kuondoa tu zile daladala, ilikua kosa kubwa sana. Zilipaswa ziachwe wapambane, ki biashara, hakika huduma ingekua poa kote kote.
kivukoni- kimara, kimara- posta, posta- simu2000,Sielewi mnaposema dala dala zimeondolewa.
Huwezi kutoka Kariakoo mpaka Muhimbili kwa daladala?
Hakuna daladala Gerezani mpaka Kimara?
Morrocco mpaka Kivukoni hufiki kwa daladala?
unaishi Dar kweli wewe???Sielewi mnaposema dala dala zimeondolewa.
Huwezi kutoka Kariakoo mpaka Muhimbili kwa daladala?
Hakuna daladala Gerezani mpaka Kimara?
Morrocco mpaka Kivukoni hufiki kwa daladala?
I prefer bus stage rather than port.Naiangalia project ya UDART kwa jicho la tatu naona inakufa. Pamoja na support kubwa ya Serikali bado hawa jamaa (management ) wameshindwa kujiongeza kabisaa.
Imagine if were you unaondolewa washindani wako katika biashara unabaki peke yako harafu unashindwa kufanya huduma unategemea nini?
Wateja ( pamoja na mimi) wanalalamika kukaa muda mrefu vituoni lakini utawala hauna ufumbuzi.
Wametoa namba za customers care hazipokelewi kabisa(nadhani kwenye hili wanamlizisha mheshimiwa kama vile wafanyabiashara wanavyobandika siku ya TRA kuwa yeye analipa kodi while not)
Hawa jamaa hawajui;
1.Muda gani ni peak/rush hours magari yawepo barabarani
2.Madereva kuanza kazi muda tofauti tofauti kutasaidia kumaliza kazi muda tofauti
3.Hawapo systematic katika kuyaondoa magari kwenye main port zao yanaweza yakaongozana magari hadi sita yanayoelekea upande mmoja
4.Overtime, motisha nahisi kwao wanaogopa kufanya.
Nimeona nchi za wengine walioanza kufanya hizi projects kwenye miji yao mikubwa;
1.Magari yanafanya kazi masaa 24/7 ila yanapungua barabarani jinsi muda unavyozidi kuyoyoma na siku za weekends
2.Sio lazima magari yote yaanzie mwanzo kupakia abiria kunakuwa na mawasiliano kati ya head office/port na vituoni kuangalia wingi wa abiria na kutuma gari
3.Dereva anaye fanya vizuri mfano kuwahi, attendance, ukarimu/costomer care anakuwa rewarded
Kwa mtaji huohuo Na vitendea kazi hivyo hivyo akiletwa CEO Mkenya UDART itakuwa imara. Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, sisi tuna laana ya kutokuwa serious.
Kila jambo tunaloanzisha Lina mwisho mbaya kwa sababu ya laana ya mwenge.
Isaya : Mlango 50
11 Tazama, ninyi nyote mwashao moto, mjifungiao hiyo mienge; endeni ninyi katika mwali wa moto wenu, na katikati ya mienge mliyoiwasha. Mtayapata haya kwa mkono wangu; mtalala kwa huzuni.
Kulala kwa huzuni maana yake hamtafanikiwa.
Chadema wameshindwa kabisa kuusimamia huu mradi katika jiji wanaloliongoza!Naiangalia project ya UDART kwa jicho la tatu naona inakufa. Pamoja na support kubwa ya Serikali bado hawa jamaa (management ) wameshindwa kujiongeza kabisaa.
Imagine if were you unaondolewa washindani wako katika biashara unabaki peke yako harafu unashindwa kufanya huduma unategemea nini?
Wateja ( pamoja na mimi) wanalalamika kukaa muda mrefu vituoni lakini utawala hauna ufumbuzi.
Wametoa namba za customers care hazipokelewi kabisa(nadhani kwenye hili wanamlizisha mheshimiwa kama vile wafanyabiashara wanavyobandika siku ya TRA kuwa yeye analipa kodi while not)
Hawa jamaa hawajui;
1.Muda gani ni peak/rush hours magari yawepo barabarani
2.Madereva kuanza kazi muda tofauti tofauti kutasaidia kumaliza kazi muda tofauti
3.Hawapo systematic katika kuyaondoa magari kwenye main port zao yanaweza yakaongozana magari hadi sita yanayoelekea upande mmoja
4.Overtime, motisha nahisi kwao wanaogopa kufanya.
Nimeona nchi za wengine walioanza kufanya hizi projects kwenye miji yao mikubwa;
1.Magari yanafanya kazi masaa 24/7 ila yanapungua barabarani jinsi muda unavyozidi kuyoyoma na siku za weekends
2.Sio lazima magari yote yaanzie mwanzo kupakia abiria kunakuwa na mawasiliano kati ya head office/port na vituoni kuangalia wingi wa abiria na kutuma gari
3.Dereva anaye fanya vizuri mfano kuwahi, attendance, ukarimu/costomer care anakuwa rewarded
correction: Niukisoma historia ya kampuni ya nguo ya jeans Levis (soma Livas) utaona kuwa costomers ndio waliobadilisha muonekano wa jeans na ikaongezeka thamani