bukoba boy
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 5,375
- 3,976
Jamani wadau salaam!
Nimeanzisha mradi wangu Arusha,ila kutokana na mambo yaliyokua nje ya uwezo wetu,project imesimama sababu fedha imeisha.Ulikua mradi wa ufugaji kibiashara.Pesa ambayo imetumika mpaka sasa ni kama million 35 na huu ni mradi ambao sio mdogo(wa kati).
Sasa natafuta njia nyingine ya kuufanikisha mradi huo kwa njia itakayowezekana.Proposal ipi itafaa aidha ya kibiashara au huduma kwa jamii?
Na pia utaalam wangu wa kuandika proposal bado ni mdogo nakwama,kwa yoyote mwenye uelewa na haya mambo anisaidie.
Napatikana Dar Es Salaam.
Shukrani.
Nimeanzisha mradi wangu Arusha,ila kutokana na mambo yaliyokua nje ya uwezo wetu,project imesimama sababu fedha imeisha.Ulikua mradi wa ufugaji kibiashara.Pesa ambayo imetumika mpaka sasa ni kama million 35 na huu ni mradi ambao sio mdogo(wa kati).
Sasa natafuta njia nyingine ya kuufanikisha mradi huo kwa njia itakayowezekana.Proposal ipi itafaa aidha ya kibiashara au huduma kwa jamii?
Na pia utaalam wangu wa kuandika proposal bado ni mdogo nakwama,kwa yoyote mwenye uelewa na haya mambo anisaidie.
Napatikana Dar Es Salaam.
Shukrani.