Project maalumu kuinua uchumi wa watanzania,Weka wazo lako la mradi hapa na ueleze umekwama wapi utafutiwe co-investor

Feb 25, 2018
90
76
Hello Wa Tz
Hii nimefanya research ya kutosha nikaona watanzania wengi wana wana mawazo mazuri sana ya kufanya biashara Ila hawana mtaji au hawana ujuzi juu ya kufanya miradi wanayotaka kufanya,

Wanasema kwamba kutojua kwa mwenzako iwe fursa kwako wewe ambaye unataka kujiinua kimaslai,

Siwafichi nimeona njia hii inaweza kufanya na kuleta mabadiriko

Naomba kama Una mradi wowote ambao unaplan kuufanya lakin kuna Vitu umekwama eleza nitajua jinsi ya kukusaidia Kwa kukupatia sponsor

1. Kama Una kiwanja unataka kujenga huna mtaji wa kutosha au wataka share holder
2. Una shule umekwama Kwa mambo Fulani Fulani kupata wafadhili wa wa kuiendeleza shule hiyo,

3. Una shamba lako unataka liendelezwe
4. Una academy unataka iwe ya kimataifa nitafte
5. Una website unataka uikuze kimataifa
6. Una Duka lako mtaji umelega lega
7. Una miradi yako ya utafiti umekwama kutokana na bajet,
8. Una panga kuanzisha mradi wa usafirishaji:
9. Unafungua kampuni yeyote huna hela ya kutosha

Hayo yote njoo kwangu,

Nina 42 ready investors ambao wako tiyari kuwekeza katika miradi mbali mbali Africa

Nina
Canadian 2
Waingereza 3
Wajapan 6
Wachina 15 lakin hawa wanapenda kuwekeza kwenye mambo ya maliasili suala ambalo ni gumu kidogo
Nina wakorea wa kusini 21 wananisunbua Sana kuhusu sehem wanzoweza wekeza Africa


Pia Nina ushirikiano na taasisi kubwa kubwa ambazo ziko tiyari kuwekeza Africa,

Nature ya kazi nayofanya hainiruhusu kufanya uwekezaji muda huu,

Ila sasa mashart mpaka nikupe connection mpaka ukubali yafuatayo

1. Usiwe katika masuala ya siasa au mwana siasa.
2. Uwe na mradi ambao umeandaliwa kweli kabisa siyo bla blah
3. Nitataka baada ya kukuunganisha nipewe 10% of share in the project

4. Sitaki hela ya mtu now, nataka share kwenye kampuni baada ya kuwaunganisha


Onyo
Kwa wanaotaka kusoma nje na kupata sponsorship hao watulie maana ni vigumu mno kuwapata watu sahihi,

Pia siko hapa kumtaftia mtu kazi nje

Sitaki hela ya mtu ya hongo
 
It sounds like Dr...balozi! All in all kazi nzuri! Ngoja wakuje! Diplomasia ya uchumi! Lakini 10% ya kuwa kwenye project ni rushwa tayari! Rushwa siyo cash tu! As long as you could be in govt! Diplomasia ya uchumi ndio hiyo, na mshahara ndio unaolipwa!
 
Hello Wa Tz
Hii nimefanya research ya kutosha nikaona watanzania wengi wana wana mawazo mazuri sana ya kufanya biashara Ila hawana mtaji au hawana ujuzi juu ya kufanya miradi wanayotaka kufanya,

Wanasema kwamba kutojua kwa mwenzako iwe fursa kwako wewe ambaye unataka kujiinua kimaslai,

Siwafichi nimeona njia hii inaweza kufanya na kuleta mabadiriko

Naomba kama Una mradi wowote ambao unaplan kuufanya lakin kuna Vitu umekwama eleza nitajua jinsi ya kukusaidia Kwa kukupatia sponsor

1. Kama Una kiwanja unataka kujenga huna mtaji wa kutosha au wataka share holder
2. Una shule umekwama Kwa mambo Fulani Fulani kupata wafadhili wa wa kuiendeleza shule hiyo,

3. Una shamba lako unataka liendelezwe
4. Una academy unataka iwe ya kimataifa nitafte
5. Una website unataka uikuze kimataifa
6. Una Duka lako mtaji umelega lega
7. Una miradi yako ya utafiti umekwama kutokana na bajet,
8. Una panga kuanzisha mradi wa usafirishaji:
9. Unafungua kampuni yeyote huna hela ya kutosha

Hayo yote njoo kwangu,

Nina 42 ready investors ambao wako tiyari kuwekeza katika miradi mbali mbali Africa

Nina
Canadian 2
Waingereza 3
Wajapan 6
Wachina 15 lakin hawa wanapenda kuwekeza kwenye mambo ya maliasili suala ambalo ni gumu kidogo
Nina wakorea wa kusini 21 wananisunbua Sana kuhusu sehem wanzoweza wekeza Africa


Pia Nina ushirikiano na taasisi kubwa kubwa ambazo ziko tiyari kuwekeza Africa,

Nature ya kazi nayofanya hainiruhusu kufanya uwekezaji muda huu,

Ila sasa mashart mpaka nikupe connection mpaka ukubali yafuatayo

1. Usiwe katika masuala ya siasa au mwana siasa.
2. Uwe na mradi ambao umeandaliwa kweli kabisa siyo bla blah
3. Nitataka baada ya kukuunganisha nipewe 10% of share in the project

4. Sitaki hela ya mtu now, nataka share kwenye kampuni baada ya kuwaunganisha


Onyo
Kwa wanaotaka kusoma nje na kupata sponsorship hao watulie maana ni vigumu mno kuwapata watu sahihi,

Pia siko hapa kumtaftia mtu kazi nje

Sitaki hela ya mtu ya hongo
Mimi kwa kushirikiana na mwenzangu ambae yeye ni mtaalamu wa software deaigning and development tumeweza kudevelop an android application pamoja na SMS Application ambazo zinawezesha Mtanzania kufahamu taarifa mbalimbali zinazohusu vituo vya afya na hospitali mbalimbali nchini. Taarifa kama jina la kituo cha afya/hospitali, huduma za afya zinazotolewa pamoja na gharama zake, kadi za bima za afya zinazotolewa katika hospitali husika na maelezo mafupi kuhusu huduma au ugonjwa husika.
Jinsi inavyofanya kazi:
1.Kwa SMS Application: Mtumiaji anatuma ujumbe mfupi wa SMS unaoelezea huduma anayohitaji pamoja na wilaya aliyopo (e.g. CT Scan Ilala), kwenda kwenye namba 0743 434341, baada ya muda mfupi, anapata majibu yanayoeleza hospitali ambazo huduma hiyo inapatikana, gharama ya hiyo huduma kwa kila hospitali,kadi za bima za afya zinazopokelewa,pamoja na maelezo mafupi kuhusu huduma hiyo.
2.Android Application: Unaweza kudownload application hii kwa kufungua link hii hapa Hospital Info App – Applications Android sur Google Play then, uta access taarifa za vituo vya afya na hospitali.

Application zote mbili (SMS na android)zinafanya kazi, na tuna watumiaji ambao ni active wanaotumia, na mtu yeyote anaweza kujaribu.
NOTE:Mfumo huu unafanya kazi kwa wilaya tatu tuu (Mbeya Mjini, Kyela na Ilala, hivyo ukiandika wilaya ambayo si kati ya hizi hutapata majibu)

Tunachohitaji:
Kwa sasa, huduma hii inapatikana wilaya tatu tuu!! (Mbeya Mjini, Kyela na Ilala), na kwa nature ya huu mradi,itapendeza zaidi na ku make sense ya kuweza ku commercialize pale ambapo coverage itakua ni kwa nchi nzima. Hivyo basi, tunahitaji investor/grantee ambae atatuwezesha kufanya yafuatayo.
1.Kuongeza coverage ya hii system yetu na kuifanya nchi nzima.
2.Kufanya kampeni za matangazo in social medias (video clips,photo shoots,radio and Tv adverts) pamoja na kwenye public places for demand creation and kunraise awareness kwa jamii kuhusu uwepo wa system yetu.
3.Kuifanya huduma hii iwe ni ya kibiashara zaidi.

Blagoveshchensk
 
Mimi kwa kushirikiana na mwenzangu ambae yeye ni mtaalamu wa software deaigning and development tumeweza kudevelop an android application pamoja na SMS Application ambazo zinawezesha Mtanzania kufahamu taarifa mbalimbali zinazohusu vituo vya afya na hospitali mbalimbali nchini. Taarifa kama jina la kituo cha afya/hospitali, huduma za afya zinazotolewa pamoja na gharama zake, kadi za bima za afya zinazotolewa katika hospitali husika na maelezo mafupi kuhusu huduma au ugonjwa husika.
Jinsi inavyofanya kazi:
1.Kwa SMS Application: Mtumiaji anatuma ujumbe mfupi wa SMS unaoelezea huduma anayohitaji pamoja na wilaya aliyopo (e.g. CT Scan Ilala), kwenda kwenye namba 0743 434341, baada ya muda mfupi, anapata majibu yanayoeleza hospitali ambazo huduma hiyo inapatikana, gharama ya hiyo huduma kwa kila hospitali,kadi za bima za afya zinazopokelewa,pamoja na maelezo mafupi kuhusu huduma hiyo.
2.Android Application: Unaweza kudownload application hii kwa kufungua link hii hapa Hospital Info App – Applications Android sur Google Play then, uta access taarifa za vituo vya afya na hospitali.

Application zote mbili (SMS na android)zinafanya kazi, na tuna watumiaji ambao ni active wanaotumia, na mtu yeyote anaweza kujaribu.
NOTE:Mfumo huu unafanya kazi kwa wilaya tatu tuu (Mbeya Mjini, Kyela na Ilala, hivyo ukiandika wilaya ambayo si kati ya hizi hutapata majibu)

Tunachohitaji:
Kwa sasa, huduma hii inapatikana wilaya tatu tuu!! (Mbeya Mjini, Kyela na Ilala), na kwa nature ya huu mradi,itapendeza zaidi na ku make sense ya kuweza ku commercialize pale ambapo coverage itakua ni kwa nchi nzima. Hivyo basi, tunahitaji investor/grantee ambae atatuwezesha kufanya yafuatayo.
1.Kuongeza coverage ya hii system yetu na kuifanya nchi nzima.
2.Kufanya kampeni za matangazo in social medias (video clips,photo shoots,radio and Tv adverts) pamoja na kwenye public places for demand creation and kunraise awareness kwa jamii kuhusu uwepo wa system yetu.
3.Kuifanya huduma hii iwe ni ya kibiashara zaidi.

Blagoveshchensk
Hii nimeipenda Sana mkuu nitakujia
 
Mimi niuakika wa Shamba wa ekali 6 nakuendelea napenda kulima ingawa hadi sasa natafuta mtaji nsha plani kulima maarage but shida ni mtaji
 
Hello Wa Tz
Hii nimefanya research ya kutosha nikaona watanzania wengi wana wana mawazo mazuri sana ya kufanya biashara Ila hawana mtaji au hawana ujuzi juu ya kufanya miradi wanayotaka kufanya,

Wanasema kwamba kutojua kwa mwenzako iwe fursa kwako wewe ambaye unataka kujiinua kimaslai,

Siwafichi nimeona njia hii inaweza kufanya na kuleta mabadiriko

Naomba kama Una mradi wowote ambao unaplan kuufanya lakin kuna Vitu umekwama eleza nitajua jinsi ya kukusaidia Kwa kukupatia sponsor

1. Kama Una kiwanja unataka kujenga huna mtaji wa kutosha au wataka share holder
2. Una shule umekwama Kwa mambo Fulani Fulani kupata wafadhili wa wa kuiendeleza shule hiyo,

3. Una shamba lako unataka liendelezwe
4. Una academy unataka iwe ya kimataifa nitafte
5. Una website unataka uikuze kimataifa
6. Una Duka lako mtaji umelega lega
7. Una miradi yako ya utafiti umekwama kutokana na bajet,
8. Una panga kuanzisha mradi wa usafirishaji:
9. Unafungua kampuni yeyote huna hela ya kutosha

Hayo yote njoo kwangu,

Nina 42 ready investors ambao wako tiyari kuwekeza katika miradi mbali mbali Africa

Nina
Canadian 2
Waingereza 3
Wajapan 6
Wachina 15 lakin hawa wanapenda kuwekeza kwenye mambo ya maliasili suala ambalo ni gumu kidogo
Nina wakorea wa kusini 21 wananisunbua Sana kuhusu sehem wanzoweza wekeza Africa


Pia Nina ushirikiano na taasisi kubwa kubwa ambazo ziko tiyari kuwekeza Africa,

Nature ya kazi nayofanya hainiruhusu kufanya uwekezaji muda huu,

Ila sasa mashart mpaka nikupe connection mpaka ukubali yafuatayo

1. Usiwe katika masuala ya siasa au mwana siasa.
2. Uwe na mradi ambao umeandaliwa kweli kabisa siyo bla blah
3. Nitataka baada ya kukuunganisha nipewe 10% of share in the project

4. Sitaki hela ya mtu now, nataka share kwenye kampuni baada ya kuwaunganisha


Onyo
Kwa wanaotaka kusoma nje na kupata sponsorship hao watulie maana ni vigumu mno kuwapata watu sahihi,

Pia siko hapa kumtaftia mtu kazi nje

Sitaki hela ya mtu ya hongo

MBONA KAMA KUNA DALILI YA MIRADI YA UDUFUAJI HAPA!!!

 
Mkuu mm nina project ya kuazishaa mirad kadhaaa kama ifuatavyooo
1: ufugaji wa kuku wa kienyeji kisasa
Hapa nahitaj incubator ya size ya kati au kubwa nishafanya risk analysis and asssesment niumganishe na watasha hao

2: kufungua kiwandaa kidogo cha kokoto
Hapaa nahtaj co investor wa ku buy machine (crasher) la saiz yeyote as long as watu wanajenga sana lakn pia tutauza serikalin mirad n ming sn
I WAIT YOUR POSITIVE RESPONSE
 
Back
Top Bottom