Blagoveshchensk
Member
- Feb 25, 2018
- 90
- 76
Hello Wa Tz
Hii nimefanya research ya kutosha nikaona watanzania wengi wana wana mawazo mazuri sana ya kufanya biashara Ila hawana mtaji au hawana ujuzi juu ya kufanya miradi wanayotaka kufanya,
Wanasema kwamba kutojua kwa mwenzako iwe fursa kwako wewe ambaye unataka kujiinua kimaslai,
Siwafichi nimeona njia hii inaweza kufanya na kuleta mabadiriko
Naomba kama Una mradi wowote ambao unaplan kuufanya lakin kuna Vitu umekwama eleza nitajua jinsi ya kukusaidia Kwa kukupatia sponsor
1. Kama Una kiwanja unataka kujenga huna mtaji wa kutosha au wataka share holder
2. Una shule umekwama Kwa mambo Fulani Fulani kupata wafadhili wa wa kuiendeleza shule hiyo,
3. Una shamba lako unataka liendelezwe
4. Una academy unataka iwe ya kimataifa nitafte
5. Una website unataka uikuze kimataifa
6. Una Duka lako mtaji umelega lega
7. Una miradi yako ya utafiti umekwama kutokana na bajet,
8. Una panga kuanzisha mradi wa usafirishaji:
9. Unafungua kampuni yeyote huna hela ya kutosha
Hayo yote njoo kwangu,
Nina 42 ready investors ambao wako tiyari kuwekeza katika miradi mbali mbali Africa
Nina
Canadian 2
Waingereza 3
Wajapan 6
Wachina 15 lakin hawa wanapenda kuwekeza kwenye mambo ya maliasili suala ambalo ni gumu kidogo
Nina wakorea wa kusini 21 wananisunbua Sana kuhusu sehem wanzoweza wekeza Africa
Pia Nina ushirikiano na taasisi kubwa kubwa ambazo ziko tiyari kuwekeza Africa,
Nature ya kazi nayofanya hainiruhusu kufanya uwekezaji muda huu,
Ila sasa mashart mpaka nikupe connection mpaka ukubali yafuatayo
1. Usiwe katika masuala ya siasa au mwana siasa.
2. Uwe na mradi ambao umeandaliwa kweli kabisa siyo bla blah
3. Nitataka baada ya kukuunganisha nipewe 10% of share in the project
4. Sitaki hela ya mtu now, nataka share kwenye kampuni baada ya kuwaunganisha
Onyo
Kwa wanaotaka kusoma nje na kupata sponsorship hao watulie maana ni vigumu mno kuwapata watu sahihi,
Pia siko hapa kumtaftia mtu kazi nje
Sitaki hela ya mtu ya hongo
Hii nimefanya research ya kutosha nikaona watanzania wengi wana wana mawazo mazuri sana ya kufanya biashara Ila hawana mtaji au hawana ujuzi juu ya kufanya miradi wanayotaka kufanya,
Wanasema kwamba kutojua kwa mwenzako iwe fursa kwako wewe ambaye unataka kujiinua kimaslai,
Siwafichi nimeona njia hii inaweza kufanya na kuleta mabadiriko
Naomba kama Una mradi wowote ambao unaplan kuufanya lakin kuna Vitu umekwama eleza nitajua jinsi ya kukusaidia Kwa kukupatia sponsor
1. Kama Una kiwanja unataka kujenga huna mtaji wa kutosha au wataka share holder
2. Una shule umekwama Kwa mambo Fulani Fulani kupata wafadhili wa wa kuiendeleza shule hiyo,
3. Una shamba lako unataka liendelezwe
4. Una academy unataka iwe ya kimataifa nitafte
5. Una website unataka uikuze kimataifa
6. Una Duka lako mtaji umelega lega
7. Una miradi yako ya utafiti umekwama kutokana na bajet,
8. Una panga kuanzisha mradi wa usafirishaji:
9. Unafungua kampuni yeyote huna hela ya kutosha
Hayo yote njoo kwangu,
Nina 42 ready investors ambao wako tiyari kuwekeza katika miradi mbali mbali Africa
Nina
Canadian 2
Waingereza 3
Wajapan 6
Wachina 15 lakin hawa wanapenda kuwekeza kwenye mambo ya maliasili suala ambalo ni gumu kidogo
Nina wakorea wa kusini 21 wananisunbua Sana kuhusu sehem wanzoweza wekeza Africa
Pia Nina ushirikiano na taasisi kubwa kubwa ambazo ziko tiyari kuwekeza Africa,
Nature ya kazi nayofanya hainiruhusu kufanya uwekezaji muda huu,
Ila sasa mashart mpaka nikupe connection mpaka ukubali yafuatayo
1. Usiwe katika masuala ya siasa au mwana siasa.
2. Uwe na mradi ambao umeandaliwa kweli kabisa siyo bla blah
3. Nitataka baada ya kukuunganisha nipewe 10% of share in the project
4. Sitaki hela ya mtu now, nataka share kwenye kampuni baada ya kuwaunganisha
Onyo
Kwa wanaotaka kusoma nje na kupata sponsorship hao watulie maana ni vigumu mno kuwapata watu sahihi,
Pia siko hapa kumtaftia mtu kazi nje
Sitaki hela ya mtu ya hongo