Proin Promotion kuimeza Steps Entertainment

Proin Promotion kuimeza Steps Entertainment

hujui ulisemalo, we unazan wasanii wanaolalamika kushuka kwa bei ni wajinga? wanajua muhindi atapata sababu ya kushusha dau la kununua kazi zao, so kama msanii alipaswa alipwe mil 50 kwa filamu 1 unaweza kuta analipwa mil 20

wewe ndio hujui ulisemalo.

wasanii wapo kwenye makundi mawili;-

1 waliopo steps na wanaotegemea kuuza movie zao steps, yani wameshindwa kujua wanaibiwa na steps. wanauza hati miliki zao na pesa wanapewakidogo lakini wao wanaona zinawatosha.

2 wasanii waliojitoa steps, wameamua kuuza kazi zao wenyewe baadaye akuona wanapewa pesa kidogo na steps na upokwa hakimiliki ya kazi zao na steps baaday kumuuzia.

wasanii wanaolalamika steps kushusha bei ni wapi?
wasanii wanaolalamika ni wale walioamua kuuza kazi zao wenyewe. wanasema steps ni kama ameamua kuwakomoa kwa kushusha bei ya cds, sababu steps ana uwanja mpana hata kama cd zikishushwa bado watauza na kupata faida, lakini wao uwanja wao ni finyu kuanzia kwa usambazaji!

akina zamaradi na wengine walilipinga sana la kushusha bei ya cds lakini wasanii fulani walivyomshambulia zamaradi ungeshangaa wana maslahi gani na kushuhswa bei ya cds au wana maslahi gani na steps, wakati ni ukweli iatabid kweli steps awakandamize zaid badala ya kuwapa mln 50 atawapa mln 20.
 
wewe ndio hujui ulisemalo.

wasanii wapo kwenye makundi mawili;-

1 waliopo steps na wanaotegemea kuuza movie zao steps, yani wameshindwa kujua wanaibiwa na steps. wanauza hati miliki zao na pesa wanapewakidogo lakini wao wanaona zinawatosha.

2 wasanii waliojitoa steps, wameamua kuuza kazi zao wenyewe baadaye akuona wanapewa pesa kidogo na steps na upokwa hakimiliki ya kazi zao na steps baaday kumuuzia.

wasanii wanaolalamika steps kushusha bei ni wapi?
wasanii wanaolalamika ni wale walioamua kuuza kazi zao wenyewe. wanasema steps ni kama ameamua kuwakomoa kwa kushusha bei ya cds, sababu steps ana uwanja mpana hata kama cd zikishushwa bado watauza na kupata faida, lakini wao uwanja wao ni finyu kuanzia kwa usambazaji!

akina zamaradi na wengine walilipinga sana la kushusha bei ya cds lakini wasanii fulani walivyomshambulia zamaradi ungeshangaa wana maslahi gani na kushuhswa bei ya cds au wana maslahi gani na steps, wakati ni ukweli iatabid kweli steps awakandamize zaid badala ya kuwapa mln 50 atawapa mln 20.
stineriga, uliyosema yote ni sahihi kabisa lakini in the Long Run hata hoja ya kende nayo ni sahihi kwa 100%!

Hawa wasanii walio chini ya Steps hili suala ni threat vile vile kwa upande wao! Suala la Steps kushusha bei ya mauzo ya filamu in the Long Run litaathiri hata bei ya ununuzi anaofanya wa filamu na kigezo chake kitakuwa ndio hicho hicho kwamba bei ya filamu ni ndogo kwahoyo hawezi kulipa bei sawa na zamani wakati bei ya filamu sokoni ilikuwa kubwa!

Hata hivyo, in the Long Long Run, Steps anajihatarishia upataji wa kazi zilizo bora au zile zinazouzika kwa kuangalia majina ya wasanii! Kuna hatari, akija kushusha bei ya kununulia filamu kwa kigezo cha bei ndogo ya filamu sokoni, basi hata wale alionao watamkimbia!
 
Naunga mkono hoja kwa 100% kwa ujio wa proin promotion uje kubadilisha maisha ya hawa wasanii wetu wa kibongo mbona nchi za wenzentu wasanii wanaheshimika sana?????!
 
Back
Top Bottom