Programu ya kulinda na kuendeleza hifadhi ya Selous (SECAD) inayofadhiliwa na Ujerumani yazinduliwa

Zurie

JF-Expert Member
Jul 6, 2014
1,745
4,277
Waziri wa Maliasili na Utalii, Profesa Jumanne Maghembe pamoja na Balozi wa Ujerumani nchini, Bw. Egon Konchake wamezindua rasmi Programu ya kulinda na kuendeleza hifadhi ya Selous(SECAD).

Programu hii ni jitihada za pamoja za Serikali za Ujerumani na Tanzania na asasi za kiraia za kulinda Hifadhi ya wanyama ya Selous na ecosystem yake.

DSC_0590.JPG


170617 SECAD launch PR_en-1.jpg
170617 SECAD launch PR_en-2.jpg
 
Back
Top Bottom