Tuanze na kubuni programming language ya Afrika kabla kuwaza suala la lugha, ukweli Waafrika tuko nyuma sana kwenye kila kitu. Na sio sisi tu kwenye bara hili, ila mtu mweusi amechelewa sana hata kama ni mzawa wa huko Ulaya. Hebu fanya utafute top programmers in the world, hamna mweusi hata mmoja.
Ukweli mchungu ila ndivyo ulivyo, tuukubali ili tuanze kurekebisha.
Mimi mara nyingi huwa nachat na Wachina kwenye Skype, ambao wengi hawafahamu kingereza, akiandika Kichina nakifanyia copy pasting kwenye translator, kisha naandika Kingereza na kukibadilisha Kichina namtumia, haya masuala ya lugha bana......