The Farmer
JF-Expert Member
- Jan 7, 2009
- 1,658
- 559
Kwa nini usitumie QT creator kutengeneza C++ GUI ambayo inafanya kazi karibu sawa na visual studio badala ya kutumia IDEs mbili tofauti.
Asante maelezo yako kaka: Kuna Program nimetegeneza ya school Management system nataka kuifanya iwe web base nitumie program gani? vizuri na rahisi ingawa najua hakuna kazi rahisi..Zote zitakufaa ila ushauri wangu ni kama ifuatavyo.
Ninachoweza kusema ni kuwa Visual Basic .Net inakuruhusu kufanya vitu haraka zaidi, yaani jinsi ile Programming environment ilivyokaa vizuri (Visual Studio), inakuwezesha kufocus zaidi kwenye tatizo unalojaribu kutatua. Na pia kujenga User Interface nzuri ni rahisi zaidi kwenye VB.Net. Visual Studio inafanya vitu vingi "behind the scenes" kwa ajili yako.
C++ ni bora zaidi kama unataka kutumia resources za comptuta vizuri, ndo maana inatumika sana kwenye kutengeneza Games.
Farmer, nina tatizo kama lako, nataka kufanya hayo mambo ya pattern recognition kwa kutumia NN na SVM kwenye MATLAB may be we can share something.
if you are really a programmer you shouldn't proud yourself hating C & C++....if that then don't call yourself Computer geeks at all......by the way among the most simplest and interesting languages of computer these are.....Coming soon, I will release My application for "Hospital Management System" which i previously did it in vb6 but now I wanted to make more stable using C, C++ and Java all in one.
In short this application will be able to run in Windows and Linux since I have written it in Linux platform.....So I hope Guys it will help you to discover the importance of C,C++
Nimekupata mkuu. Siko kwenye Linux, niko kwenye Windows Environment Nina Compiler ya Bolland na Ms Visual studio 2005.
Hiyo formula ni basic kwenye hiyo software. lakini nitakwenda zaidi ya hapo. Nita-involve more advanced methods such fuzzy logic, Neural Network and Support Vector Machines.
Lengo kuu la hiyo software ni "Pattern Recoginition". Application yake nataka iwe zaidi kwenye Envormental issues na Physical Land resouces.
PHP au JSP au ASPX au Python/DjangoAsante maelezo yako kaka: Kuna Program nimetegeneza ya school Management system nataka kuifanya iwe web base nitumie program gani? vizuri na rahisi ingawa najua hakuna kazi rahisi..
Nina maswali kadhaa,
1. Umetuambia tu kuwa hiyo algorithm itaapply kwenye physical land resources and environmental issues. This is too general. Naomba uniambie the problem definition. Yani what problem are you trying to solve? na in what scale (very large/medium/small)
2. Nimeuliza kwa sababu implementations za NN, SVMs and fuzzy logic will greatly influence the programming language you want to pick, naona wewe bado hujadecide on which one, but teari umedecide on the language. For example, training/testing data zinapoongezeka, SVMs become slow and consume very high memory kwa sababu zinatumia quadratic programming, hata NNs zinapata same problems with large increase of data but not as slow as SVMs. Sasa hapa pia inategemea na type of data na variables zako kama ni nyingi au la na to what scale you are planning to apply them.
Pia umesema unataka kudevelope Statistical software based on Bayesian Probability( Bayes Theorem), then use naive bayes, or regression, why jump to SVMs and NNs which are non-probabilistic? pia lazima uangalie kama unadeal na linear or non linear data. Labda kama ulisema bayesian probability to indicate using uncertainity to tackle problems, hapa ntakuelewa.
Kwa hiyo, cha msingi ni kucheki utakuwa unadeal na data aina gani? Then utatumia algorithm (method) gani? sasa baada ya hapo uje kwenye language gani ya kuimplement model yako.
Swali la mwisho, unatumia existing algorithms to meet your need, au unadevelope from scratch?
Kwanini umeiacha mkuu??Kweli muda unaenda, sijagusa hiyo C++ in years!
Kazi zimenichosha kwenye PC all day, nikirudi nyumbani hata kuiangalia sitaki. Ila nagusa gusa Android na PHP kwa ajili ya backend.
Sidhani kama kulikuwa na sababu maalumu ila C++ practically inatumika sehemu chache na very specialized, kwenye embedded, OS systems programming, kidogo sana kwenye mobile.Kwanini umeiacha mkuu??
Sawa sawa kiongozi! Je una books nzuri za php? Msaada kama uko navyo mkuu!Sidhani kama kulikuwa na sababu maalumu ila C++ practically inatumika sehemu chache na very specialized, kwenye embedded, OS systems programming, kidogo sana kwenye mobile.
So kama unafanya web front/backend, desktop au mobile mobile development hakuna haja ya C++. Mimi nimejikuta naenda kwenye mobile zaidi.
Kuna uzi upo hapa unaelezea kwanini vijana wa CS hampendi programmingC++ ni ptogramming language ngumu sana naweza sema kuliko language zotevnilizosoma yaan!!!
Uzi huo uko wapi nidirectKuna uzi upo hapa unaelezea kwanini vijana wa CS hampendi programmingpole sana mdau!