Profile yangu inanichanganya

Profile yangu inanichanganya

Mhigwa one

Member
Joined
Nov 5, 2016
Posts
60
Reaction score
46
1478490022792.jpg
wadau profile yangu inaonesha hivyo lakini nikiangalia web ya chuo cha udom jina langu halionekani tatizo ni nini wakati TCU wameshanichagua? Kuanzia first batch hadi fifth batch! Nishaurini tatizo nini?
 
Mwenye mawasiliano yoyote na uongozi wa chuo anisaidie,maana namba za simu za TCU zinaita bila mafanikio! Wenye uzoefu profile ikionesha hivyo maana yake si ni kuwa nimechaguliwa? Nimefika TCU dar wakasema chuo kita approve but kimia mpaka leo batch zote sioni jina.
 
Ndugu zangu nisaidieni nahitaji kwenda chuo na muda wa masomo kuanza umewadia sijajua mwisho wa kuripoti udom lini?
 
wewe jamaaa unznguah nenda chuoni huwz lion jina lako ....km umechaguliw DOM sepa hilo tatzo kna mtu lilimpta alichaguliwa SUA lkn jina lake pia halikuonekana nmemwambia aje na ameshafanya registration anapga pindi
 
Hamna mwisho wa kuripoti, ila angalau wiki sita.... uwe vizuri kichwani kuziba ya nyuma... wengi wao ambao hawaripoti mapema huwa wanakaa chuo huku wakipiga kitabu japo ni kinyume na sheria
 
angalia tena kwa web ya udom utakut kuna majin mengine yameongzwa
 
Ndugu zangu nisaidieni nahitaji kwenda chuo na muda wa masomo kuanza umewadia sijajua mwisho wa kuripoti udom lini?

Mkuu iko hv TCU wanapokubali vigezo vyako na kukuchagulia chuo kati ya ulivyochagua tambua kuwa linakuwa limebaki jukumu moja la chuo kuaccept jina lako ili TCU profile isome kuwa ume be selected

Solution: Nenda chuoni udom kwa ajili ya kuripoti, nenda kamili kabisa kama ni ada hujapewa mkopo nenda nayo kwa ajili ya regestration

I thnk wakat wa kurudisha feedback jina lako lilisahaurika.....
 
Na mimi limenikuta hilolhilo,profile inasema niko provisionally selected to NIT ila jina halipo na ni kama NIT wameshamaliza kutoa majina
 
Kwa ujumla mpaka sasa nimechanganyikiwa bado majina chuoni hayajatoka japo TCU inaonesha nimechaguliwa
 
Thomaskitomari wewe tatizo lako umeshalitatua la kuwa selected chuo?
 
Niende nikaripoti una maanisha hivyo au kuulizia? Unajua ndio maana watu tunawasiliana humu kuliko kuingia gharama uende uambiwe vinginevyo that's why we share ili kupata majawabu au namba za mtu muhimu ili hata kama unaenda ni kuripoti tu ada na kila kitu niko full maana nilichelewa kuomba mkopo. Na barua ya mwajiri ya ruhusa ya kwenda kusoma ninayo!
 
Back
Top Bottom