rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,441
Wakati mwingine nikifikiria sababu ya Huyu Professor kupewa huo Uprofessor sipati jibu,inakuwaje msomi mwanasiasa apewe uprofessor na uwezo wake kimaamuzi ni mdogo kiasi hicho?hivi ni nani anayewapa au kuwatunukia watu uprofessor?ni viwango gani vinaangaliwa au level ya mtu?
vitendo anavyofanya huyu so called new professor vinasababisha sisi watazamaji wa mambo kujiuliza mara mbili,katoka CCM kaingia Chadema,kasababisha migogoro Chadema kafukuzwa,kaingia chama kingine na huko anasababisha tena migogoro,,,,,,,,,,,,
sasa huyu professor ina maana hana uwezo wa kuona mbali na kujua kuwa kuna kitu kinakuja?ina maana matukio yote yanayomtokea hana uwezo wa kushtuka mapema na kukaa pembeni ili asijadiliwe kwenye upuuzi?? mbona sisi watu wa kawaida tusio hata na hadhi ya kuitwa professor tunajua nini kinakuja kwa kusoma matukio??
Kitila Mkumbo bana ni aibu sana na kwa taarifa yako ni kwamba unaanza kufanya watu kuona uprofessor ni kitu cha kawaida sana kama jamaa mwingine aliyetufanya kuona Urais ni kitu cha kawaida sana,
acheni kuharibu fani hizi tuzitunze kwa vizazi vijavyo,Kitila usikubali kuwa sababu ya watu kudharau uprofessor tafadhali sana kaa pembeni kaka achia wenye uwezo na wapo wengi sana
vitendo anavyofanya huyu so called new professor vinasababisha sisi watazamaji wa mambo kujiuliza mara mbili,katoka CCM kaingia Chadema,kasababisha migogoro Chadema kafukuzwa,kaingia chama kingine na huko anasababisha tena migogoro,,,,,,,,,,,,
sasa huyu professor ina maana hana uwezo wa kuona mbali na kujua kuwa kuna kitu kinakuja?ina maana matukio yote yanayomtokea hana uwezo wa kushtuka mapema na kukaa pembeni ili asijadiliwe kwenye upuuzi?? mbona sisi watu wa kawaida tusio hata na hadhi ya kuitwa professor tunajua nini kinakuja kwa kusoma matukio??
Kitila Mkumbo bana ni aibu sana na kwa taarifa yako ni kwamba unaanza kufanya watu kuona uprofessor ni kitu cha kawaida sana kama jamaa mwingine aliyetufanya kuona Urais ni kitu cha kawaida sana,
acheni kuharibu fani hizi tuzitunze kwa vizazi vijavyo,Kitila usikubali kuwa sababu ya watu kudharau uprofessor tafadhali sana kaa pembeni kaka achia wenye uwezo na wapo wengi sana