Josh Michael
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 2,523
- 77
- Thread starter
- #21
Nakubaliana kabisa kuwa watu kama wamezaliwa Tanzania wao ni Watanzania na kama wamesomeshwa kwa pesa zetu basi kuna haja ya kurudisha na kuwatumikia watanzania na sio watu kwenda zao na kupoteza rasilimali za Taifa la Tanzania