Prof anasema ni yeye ndo alimwambia p funk na anajua mzigo ni p sababu j alikuwa kwenye lebo ya p
Sasa j anasema ye kiongozi na bungeni wameongea kuhusu j kupata hela ambayo inabidi atangaze mana ingemleta shida kiutawala na j ajazungumzia p funk ye amezungumzia cosota so alitaka aseme ukwel mana ccm ana njia ya kumtoa mtu bungeni so ye ametaka waseme ukwel p funk ndo amechukua hela sema p funk alikua sober yake ya bangi akafumuka ila naona amedelete comment yake na amepigiwa na clouds amesema ayupo tayari kuongelea hilo nadhani ametambua nn kosa lake ilibidi watafutane kwanza pembeni nadhani stress za maisha pia zinamzingua now days