Professor Haroub Othman Vs Professor Issa Shivji

Professor Haroub Othman Vs Professor Issa Shivji

gango2

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2011
Posts
1,958
Reaction score
2,286
wadau, hebu naomba maoni yenu

nimebahatika kuwa mmoja wa wanafunzi wa Professor Haroub Othman UDSM (2007) lakini pia sijabahatika kufundishwa na Issa Shivji, je naomba kujua je kati ya hawa wawili nani ni best
academic activist? au nani ni champion wa social justice?

lets assume professor Haroub othman angekuwa hai mpaka sasa.!

kwa wale wanaowafahamu watu hawa.
 
Haroub alikuwa mashine nyingne,huyu Shivj alijidhalilisha kwa kukana msimamo wake wakati wa usanii wa katiba mpya.
 
sawa! nami nilimuona Haroub safi sana
 
wadau, hebu naomba maoni yenu

nimebahatika kuwa mmoja wa wanafunzi wa Professor Haroub Othman UDSM (2007) lakini pia sijabahatika kufundishwa na Issa Shivji, je naomba kujua je kati ya hawa wawili nani ni best
academic activist? au nani ni champion wa social justice?

lets assume professor Haroub othman angekuwa hai mpaka sasa.!

kwa wale wanaowafahamu watu hawa.
sijaelewa mantiki ya swali hili kwanini limekuja sasa ,kwanini linagusa magwiji wetu hawa ,ninapomzungumzia professa haroub athuman na profesa issa g,shivji .hawa NI ELITE HIGH PROFILE ACADEMICIANS, Kwa nchi kama japan huwa wanatengeneza documentary katika television ,hii hujenga taswira halisi katika nchi .nategemea kuona documentary hizo kule kwenye television zetu pendwa ,
 
Wanasema omba mwisho mwema
shivji ashaanza kuharibu cv hasa pale alipokana msimamo wake wa serikali tatu
 
Back
Top Bottom