Nina baba yangu mdogo ni Professor, amestaafu pale UDSM ni Professor alikuwa anafundisha POLITICAL SCIENCE.
Baada ya kustaafu amepewa mkataba wa miaka miwili ambapo anakuwa akifanya kazi kama part time hivyo muda mwingi anakuwa free, hivyo anahitaji kazi ya kumuweka busy.
Endapo unafaham international organization yeyote ile iwe ya kiserikali au isiyo ya kiserikali ambayo wanaweza kumchukua toa suggestion then mimi nitamfahamisha wakuu.
Asanteni
Asanteni kwa ushirikiano, kuna member hapa jf amesaidia sana. Nimempa cv leo baba mdogo alienda kwa mazungumzo ktk intern org fulani. Ubarikiwe sana mkuu... LONG LIVE JF