LEYANA LESINDAMU
Member
- Mar 22, 2012
- 33
- 11
Jamani wana jamvi nijuzeni profesa safari yuko wapi? Maana simsikii kabisa. Nawasilisha.
kwa kawaida watu wenye frustrations huwa wanashinda bar, mtafute anga hizo!
Sikweli kwa ninavyomjua Professor Safar sio mlevi ila anendelea na shughulizake za uwakili na uandishi wa vitabu hasa vya sheria na yupo katika ofisi yake hapo mtaa wa samora jengo la Tanzania Publishers ghorofa ya kwanza
Sikweli kwa ninavyomjua Professor Safar sio mlevi ila anendelea na shughulizake za uwakili na uandishi wa vitabu hasa vya sheria na yupo katika ofisi yake hapo mtaa wa samora jengo la Tanzania Publishers ghorofa ya kwanza
alinunuliwa na nyinyiemu ili awe kimya,hajanyimwa kuendeleza ukombozi.Kwa miaka mingi Prof safari alikuwa ni mmoja ya wanaharakati na wasomi waliokuwa mstari wa mbele kutetea maslahi ya watz.
Kwa mfano. wakati wa Kupitishwa Sheria ya Kuzuia Ugaidi, ni miongoni mwa wasomi waliokuwa mbele kupinga swala hili mbele kupinga wakiongozana na wasomi wa Kiislam na wanaharakati wengine kama Prof NJOZI , Marehemu Haroub Othman na wengine. Ni miongoni mwa mawakili maarufu wanaotetea haki za waislam nchini huku bado akiwa mwanasiasa. Kwa mfanio Kesi ya Kiwanja cha kariako na kesi za sheikh Ponda Issa Ponda na nyegine nyingi
Alikuwa akipata nafasi sana kuongea kwenye vyombo vya habari kuzungumzia mustkabli wa taifa kwa jamii ya kiislam huku pia akiwa Mwanachama na kiongozi Mkubwa ndani ya CUF.
Lakini tangu ainge Chadema Mtanzania huyu Simsikii hata katika maswali ya MSINGI ya NECTA na mengine ambayo wasomi kadhaa aliokuwa nao kabla ya kujiunga chadema wanayajaribu kuyazungumza.
Jee hana uhuru tena?
Kwa miaka mingi Prof safari alikuwa ni mmoja ya wanaharakati na wasomi waliokuwa mstari wa mbele kutetea maslahi ya watz.
Kwa mfano. wakati wa Kupitishwa Sheria ya Kuzuia Ugaidi, ni miongoni mwa wasomi waliokuwa mbele kupinga swala hili mbele kupinga wakiongozana na wasomi wa Kiislam na wanaharakati wengine kama Prof NJOZI , Marehemu Haroub Othman na wengine. Ni miongoni mwa mawakili maarufu wanaotetea haki za waislam nchini huku bado akiwa mwanasiasa. Kwa mfanio Kesi ya Kiwanja cha kariako na kesi za sheikh Ponda Issa Ponda na nyegine nyingi
Alikuwa akipata nafasi sana kuongea kwenye vyombo vya habari kuzungumzia mustkabli wa taifa kwa jamii ya kiislam huku pia akiwa Mwanachama na kiongozi Mkubwa ndani ya CUF.
Lakini tangu ainge Chadema Mtanzania huyu Simsikii hata katika maswali ya MSINGI ya NECTA na mengine ambayo wasomi kadhaa aliokuwa nao kabla ya kujiunga chadema wanayajaribu kuyazungumza.
Jee hana uhuru tena?CHADEMA HAINA UVUMILIVU NA JAMII YA KIISLAM?
hebu tujikumbeshe hapa wakati wa UHAI WAKE wa KIIMANI
An-nuur Na. 205