Umeona eeeh!!Prof huu mkwara tuu, msamaha
ataomba hata nyuma ya pazia. tangu mwanzo alikua anawafaham wezi lakini hakuwataja kwa sababu ya kuwaogopa. Ile ilikua zamu yake now its their turn akileta ubishi hata amini aise.
Ninauhakika lazima tu ataomba msamaha, hii ni mikwara mbuzi tu.
Atakuja kuomba radhi ama hadharani(Bungeni) ama sirini(Kamati ya bunge au ya wabunge wa CCM). Na kuanzia hapo atakuwa mpole na rafiki mwema kwa mafisadi.