https://www.facebook.com/Kwa hiyo wewe profesa ulietetea wizi wa fedha za Escrow kwa nguvu nyingi mpaka ukatukana watu ni matumbili leo hii unapata wapi ujasiri wa kutuambia watanzania kuwa umeme maji unachelewa kuanza kuzaa faida na umepitwa na wakati?
Kwa hiyo huko Usa na China ambazo ni nchi zilizoendelea kwa kila namna wanapojenga Hydropower stations au kuendelea kutumia HEP kuzalisha umeme ni watu wasio na uelewa wa mambo?
Lini ilishawahi kutokea kupata nishati kama umeme ikawa ni fasheni ya kudai HEP imepitwa na wakati na sasa tutumie gas? Au unaleta dharau zako?
Hasira za wewe kufukuzwa uwaziri kisa tu ulishazoea kupiga madili makuwa hapo wizara ya nishati isiwe sababu ya kutuharibia mipango ya kukamilisha JNHPP. Kaaa kimya uendelee kutafuna posho za Escrow.
Hata ukimshikia bastola haji hapa! Muhongo kashikwa pabaya! Watanzania hatujamsahau na ushiriki wake kwenye sakata LA escrow!! Mzee Wa madili huyo!Wamemuita aje, ngoja tumsubiri.
CV Kali + ufisadi = propesa Muongo!! Ufisadi umemharibu!! Anataka kutuingiza mkenge!Kwa CV yake tu huyu Profesa, Uweledi wake, Uzoefu wake na Uwezo wake mkubwa wa Akili nakubaliana nae tena kwa 100% juu ya huu Mtazamo wake.
Ni Rais Mpumbavu tu pekee ndiyo hatotaka kufanya Kazi na Mtu very competent kama Profesa Muhongo ambaye hata Mataifa Makubwa na yaliyotuzidi kila Kitu hadi Akili walifanya nae Kazi na sasa wanamtumia pia kama Independent Consultant katika Masuala ya Madini na Jiolojia pia.
Majungu dhidi yake hayasaidii ni Upuuzi.
Muda ulishaongea tayari: prof Muh*ngo = Propesa Muongo!!IProf anadanganya. Thermal plants including gas ones, are known for being expensive in maintaining them.
Hydro power plants initial cost is massive. Running cost is very cost effective.
Prof Muhongo au Prof Muongo? Muda utaongea
Evidence ni escrow! au ulikuwa bado haujazaliwa?Hebu tutajie hapa hayo mataifa makubwa
Yanamtumia huyu Dalali Muhongo
Weka evidence tafadhali
Elimu kubwa + Ufisadi=Mavi.Una Elimu gani Kwanza? Tuanzie hapa!!!
Uko nyuma ya wakati!! Dunia inaachana na nuclear power taratibu na kutafuta vyanzo vingine. Sababu kubwa ni kuwa Nuclear power ni adui mkubwa mno wa mazingira! Waulize Japan na Urusi watakuambia! Muda huu ujerumani hataki hata kusikia habari ya umeme was nuclear. Wameshaweka nakakati was hatimaye kuachana kabisa na chanzo hicho.Dunia nzima inaenda kwenye nuclear, gas na solar. Sisi bado tumegomea kwenye maji
Mama ajitenge nao kwa vitendo ili hawa wapiga dili na madalali wakae kimya ...SSH ni dhaifu ndio maana majizi yote yapo busy kumshauri, ukiona mtu anakushauri ujinga kwa uhuru kabisa ujue anadharau uwezo wa akili. Tutegemee EPA, ESCROW , RICHMOND, IPTL na mengineyo mengi ndani ya hii miaka ya huyu mama.
HUYU MUHONGO ANADHANI TUMEMSAHAU KWENYE SCANDAL YA ESCROW HAWA NDIO WALE AMBAO JPM ALIWADHIBITI KWA HIYO NDIO WANAHANGAIKA KUMTENGENEZEA IMAGE MBAYA LAKINI SISI WANANCHI TULIMWELEWA NA BADO TUTAENDELEA KUMWELEWA JPM HATA KAMA AMETUTOKA BADO MUHONGO HAWEZI KUSIMAMA MZANI MMOJA NA JPM WATUACHE WASIJICHOSHE KUMCHAFUAKwa hiyo wewe profesa ulietetea wizi wa fedha za Escrow kwa nguvu nyingi mpaka ukatukana watu ni matumbili leo hii unapata wapi ujasiri wa kutuambia watanzania kuwa umeme maji unachelewa kuanza kuzaa faida na umepitwa na wakati?
Kwa hiyo huko Usa na China ambazo ni nchi zilizoendelea kwa kila namna wanapojenga Hydropower stations au kuendelea kutumia HEP kuzalisha umeme ni watu wasio na uelewa wa mambo?
Lini ilishawahi kutokea kupata nishati kama umeme ikawa ni fasheni ya kudai HEP imepitwa na wakati na sasa tutumie gas? Au unaleta dharau zako?
Hasira za wewe kufukuzwa uwaziri kisa tu ulishazoea kupiga madili makuwa hapo wizara ya nishati isiwe sababu ya kutuharibia mipango ya kukamilisha JNHPP. Kaaa kimya uendelee kutafuna posho za Escrow.
Kama hujui bora uliza kuliko kujifanya mjuaji.Gesi yetu ipi iliyouzwa, acheni huo uongo na propaganda za kitoto.
Umeandika vizuri sana mkuuLeo nimeshituka kusikia maneno ya Professor Muongo (Mtaalamu wa Nishati) akisema umeme wa Maji sasa Umepitwa na wakati na Uchumi ni Umeme wa Gesi.
Huenda ni kweli ujenzi wa Hydro Electric Power Plant ukawa na gharama mwanzoni na sio kila nchi / sehemu inaweza ikawa na HEP sababu lazima kuwe na viable infrastructure.
Ni hatari sana kwa nchi maskini kama Tanzania kuwadharau wasomiDuniani kote mabwawa yanajengwa. China, Ethiopia, Uganda, Brazil etc. Hawa wanajiita wasomi ndiyo wamefanya hadi leo tupo kwenye umaskini. Si wakusikilizwa.
Mama weeeh . . . tumeshagusanisha hasi na chanya. Tusubiri tu matokeo yakeAliyemtusi David Kafulila ni mwanasheria mkuu sio prof Muhongo, pili ni kweli siku hizi nishati mbadala ya uhakika ni 1: Solar 2: Upepo, 3: Nishati ardhi 4: Gesi 5: na Uranium, sio hydropower kwa sababu upatikanaji wa maji umeathiriwa vibaya sana na tabia nchi. Umeona ripoti ya CAG anasema ujenzi wa stieglers gorge wametumia andiko la mradi la mwaka 70/72; hawakupata muda wa kulihuisha, kwa hiyo hakuna uhakika kwamba kutakuwa na maji ya kutosha kulifanya bwawa liwe endelevu na lenye faida na kuzalisha umeme kwa gharama nafuu!
Sio kwamba chanzo bora kwa sasa ni umeme wa nguvu ya jua na umeme wa upepo ?Gesi ndio chanzo bora zaidi mnakataaje ukweli?
Usidanganyike na CVKwa CV yake tu huyu Profesa, Uweledi wake, Uzoefu wake na Uwezo wake mkubwa wa Akili nakubaliana nae tena kwa 100% juu ya huu Mtazamo wake.
Ni Rais Mpumbavu tu pekee ndiyo hatotaka kufanya Kazi na Mtu very competent kama Profesa Muhongo ambaye hata Mataifa Makubwa na yaliyotuzidi kila Kitu hadi Akili walifanya nae Kazi na sasa wanamtumia pia kama Independent Consultant katika Masuala ya Madini na Jiolojia pia.
Majungu dhidi yake hayasaidii ni Upuuzi.