Darren2019
JF-Expert Member
- Nov 23, 2019
- 1,112
- 2,379
Kumekuwa na majadiliano mengi kuhusu elimu yetu, madhaifu yake na changamoto mbalimbali.
Licha ya kwamba kuna hatua mballimbali zinazochukuiiwa va serikali km ujenzi wa madarasa, elimu bila malipo, uboreshaji wa mitaala na kadhalika ila bado serikali haijagusa kiini cha matatizo.
Nimefanikiwa kuzunguka shule za msingi mbalimbali hapa wilayani Karatu mkoa wa Arusha, nlichoshuhudia ni masikitiko matupu.
Shule nyingi zina wanafunzi kwa wastani wa 60 kwa darasa na madarasa 8 yaani awali hadi darasa la 7, idadi ya walimu haizidi 6 kwa shule, kuna shule ina walimu wanne pamoja na Mwl Mkuu.
Hivi kweli tunatarajia kuwakomboa watoto wa maskini wa taifa hili kwa hali hii?
Kama mkoa wa Arusha uko hivi vipi huko Katavi, Kigoma na Mtwara?
Ndg zangu kama Mungu kakubariki kipato mpeleke mwanao shule binafsi tu, huku serikalini ni majanga matupu na angalau sekondari ila primary walimu ni hakuna.
Waziri wa elimu kilio hiki kikufikie.
Licha ya kwamba kuna hatua mballimbali zinazochukuiiwa va serikali km ujenzi wa madarasa, elimu bila malipo, uboreshaji wa mitaala na kadhalika ila bado serikali haijagusa kiini cha matatizo.
Nimefanikiwa kuzunguka shule za msingi mbalimbali hapa wilayani Karatu mkoa wa Arusha, nlichoshuhudia ni masikitiko matupu.
Shule nyingi zina wanafunzi kwa wastani wa 60 kwa darasa na madarasa 8 yaani awali hadi darasa la 7, idadi ya walimu haizidi 6 kwa shule, kuna shule ina walimu wanne pamoja na Mwl Mkuu.
Hivi kweli tunatarajia kuwakomboa watoto wa maskini wa taifa hili kwa hali hii?
Kama mkoa wa Arusha uko hivi vipi huko Katavi, Kigoma na Mtwara?
Ndg zangu kama Mungu kakubariki kipato mpeleke mwanao shule binafsi tu, huku serikalini ni majanga matupu na angalau sekondari ila primary walimu ni hakuna.
Waziri wa elimu kilio hiki kikufikie.