Huyu professa Ludovick Kinabo yuko pale yule Udom ni Dvc-Arc(Deputy vice councillor Academic,research and consultant), hana longolongo yuko serious na nimchapa kazi.
Dr Joyce ndalichako kipindi yuko necta aliweza kudhibiti wezi Wa mitihani lakini pia alipandisha kiwango cha Elimu Tanzania.
Ombi langu kwa Magufuli,asiwaache Hawa watu ni mhimu sana katika kuinua Elimu yetu ya Tanzania
Dr Joyce ndalichako kipindi yuko necta aliweza kudhibiti wezi Wa mitihani lakini pia alipandisha kiwango cha Elimu Tanzania.
Ombi langu kwa Magufuli,asiwaache Hawa watu ni mhimu sana katika kuinua Elimu yetu ya Tanzania