Hii kali aisee anyway tunawakaribisha CHADEMA.. Chama mwiba mchungu kwa CCMUkweli lazima usemwe kuwa kifo cha CUF wa kulaumiwa ni Lipumba.
Kwa tamaa ya fedha ulikubali kuigawanya CUF na kukoleza moto na chuki zako dhidi ya marehemu Seif Sharif kwa kutumikia Jiwe.
Hukujua kuwa ipo siku maovu yako uliyoyafanya ukiwa gizani yata backfire.
Leo hii huna watu wa kuwaongoza huna kiongozi wa nchi anayekupatia tena fedha za kuhujumu upinzani.
Hakika Mungu ni mkubwa siku zote.
Mbona hata mrema naye ilikua hivo hivoo. Nao pia waliliunganisha taifaa.Mbowe ndiyo ameliunganisha taifa lililo kuwa limachanika vipande
Cdm inaongozwa na watu wenye akili nyingi sana.Ndio shida ya kumtegemea mtu mmoja kama nguzo ya chama!
Kilichowapata cuf baada ya Lipumba na Maalim seif, ndio kitakachokuja kuwapata machadema baada ya Mbowe
Mbona ayatollah ameshavuna. jana nimeona maandamano ya watu kama 10 hiviBado yule Ayatohllah naye atavuna anachoendelea kukipanda na alichokwisha kipanda
Usiseme Mbowe tuu, Sema Jabari la siasa Tanzania, mh. Mbowe!!!!Mbowe jeeee
Anajitafuna mwenyeweTamaa imemtawala nakumbe the way ali saliti UKAWA tena kipindi kigumu sana cha uchaguzi