Masiya
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 7,602
- 7,341
Mkuu sijakuelewa hapa kwani nafikiri kuwa huyo mhusika alitoa sifa ya ukweli. Fikiria unamdai mtuDreamliner halafu yeye anakuja mnazungumza na mnakubaliana kuwa badala ya Dreamliner akununulie basikeli tu, nawe unaridhika. Sasa huyo si ndio mwanamume. LoLKuna Niga mmoja aliwasifia hawa wazungu kuwa ni wanaume wa kweli walipohaidi kulipa kishika uchumba cha accacia