Nimesoma huko juu na kugundua Andiko lote litakua limejaa UPUMBAVU. Rais hajaomba msaada Namibia, Kaomba wawekezaji. Je huku ni kupiga magoti?Mtu akija kuwekeza hapa ndio kuomba Msaada?Umeleta story za simu,saa,nguo na mashuka nk kutoka nje. Je hivyo vitu vinakuja bure kama misaada?Hivi unaelewa maana ya Msaada?Unaketewa net au ARV na unaambiwa usaini makubaliano flani kuhusu madini na makampuni yao. Huo ni msaada au Biashara iliyojificha kwenye kivuli cha Msaada?Sikia,HAKUNA KITU KINAITWA MSAADA.Kama una AKILI TIMAMU utaelewa.