RockSpider
JF-Expert Member
- Feb 16, 2014
- 6,859
- 2,762
Bila shaka wewe ni yule mwanae mvaa vimini! Kule SIHA mzungu anatamba kuwabaka wanawake na kuua raia wasiokuwa na hatia, mvomero, kilombero, bagamoyo yote imechukuliwa na ndugu wawekezaji uchwara wa Mamako Anna... Huyo Stahili yake ni Pingu tu! Hakuna jinsi... Kuhusu ajira: unaonekana wewe ni mtumwa wa fikra, unaamini katika kuajiriwa badala ya kuwa mwajiri... siyo kosa lako bali umekuzwa kuwanyenyekea Wazungu na Mabasha zako...
RockSpider nafikiri tatizo kwako ni ajira tu. Kwa sababu wewe na wengine JF ndiyo ofisi yenu sioni ajabu kuja na nonsense issues kama hizi. Hivi kweli mnategemea kujenga familia zenu pamoja na nchi yenu kwa tabia kama hizi? Sijui wewe unatokea kanda gani ya nchi hii? Hebu jaribu kuwa innovative ktk mambo ya kujenga familia yako kuliko kuifanya JF ofisi ya tumbo lako!