Profesa Anna chupuchupu kukamatwa na PCCB

Profesa Anna chupuchupu kukamatwa na PCCB

Maccm bila rushwa hayawezi kuishi eh?
 
Za escrow bado hazijapoa ameshaanza kugawa rushwa kweli ccm imelaaniwa.
 
Huyu Sijui Kalogwa badala ya kwenda kuandaa miti kwenye shamba lake Kyamyora kulima miti ya karibea kwa ajiri ya wajukuu yeye anagawa rushwa.
Nimeshuka tokea huko jana hali yake ni tete, juzi tu aliwaaandaa bodaboda wampokee kwa rushwa ya elfu ishirini Mgawaji Rweye wa humu forum, akaja na vitoto fulani kuwaonyesha watu kuwa alikuwa anavisomesha vi yatima ndio maana akaomba msaada kwa kaka yake Ruge,

My Take kwa nini wewe La Profesali Anna Tibaijuka usiige mfano wa Kamishna Mstaafu A. Tibaigana aliyeamua kuwekeza kwenye kilimo cha Migomba aina ya Mtwishe kagalama na limekuwa mfano bora wa kilimo safi kisichokuwa na magonjwa. Hizo hela si uwape vijana wa Rukindo waliojitolea kulima migomba ya mbegu bora ambayo haijapata ugonjwa wa myauko?
Kama unataka Ubunge tena sahau kuna vijana wapya Maprofesa wengine wana digree sita wanaweza sana, kapumzike mama siasa haikufai tena. Ona sasa Taka kunguru wanavyokunyemelea, juzi tu umetuma watu wakwangue bara bara kuanzia mshamba hadi buganguzi bila kuweka changalawe mvua ikinyesha unatuletea hatari ya kuteleza.
 
9k=
 
Mada za kitoto kabisa hizi wadanganye wenzako bana.
 
Aje akanushe kama ni uzushi. Pigeni simu Muleba mkajulishwe mshike mshike wa leo nyumbani kwake. Huyu mama anazidi kutudhalilisha na ni aibu tupu kwa wanaMuleba.

Kamugunga nafikiri ungeweza kutumia akiri kiogo ingekusaidia angalau watu waweze kukubali huu ushabaki wa kipumbavu. Kama Anna alifanya makosa kuliko wengine basi ina maana Tanzania ingelikuwa nchi ya pekee ktk bara la Afrika. Yaani mtu mzima unatumia muda wako kuleta habari za chuki humu jamani? Hivi unawajua mafisadi papa au hapana? Basi tumia huu muda kuwaandika hao na wala si kuleta chuki za kibnafsi hapa. Na hii tabia ipo hapo MLB! Na siajabu wewe unaongozi kikundi hiki cha chuki! Shame on YOU!
 
Anastahili Pingu maana migogoro ya ardhi sasa ni nchi nzima... Wawekezaji wa Prof Tibaijuka wamechukua ardhi ya wananchi na sasa wananchi wanapambana kurejesha ardhi yao...

Katika hali isiyo ya kawaida leo aliyekuwa waziri wa Ardhi nyumba na maendeleo ya makazi Profesa Anna Tibaijuka ameponea chupuchupu baada ya vijana wa PCCB Wilayani Muleba kuvamia nyumbani kwakwe ghafla baada ya kupata tetesi kuwa alikuwa akigawa hongo kwa vijana wa mjini hasa wachuuzi wa ndizi ambao walikuwa wamejumuika kwake baada ya kuwaarika.

Alibainika mapema leo asubuhi kuwa profesa Anna anakikao na vijana hao na mwaliko wao uliambatana na ahadi ya pesa. Baada ya vijana wa PCCB kujulishwa kuhusu mchezo huo walijipanga kuhakikisha wanafanya kazi yao lakini taarifa za PCCB kujipanga zilimfikia Profesa kabla hajaanza kutoa rushwa.

PCCB walipovamia nyumbani kwake Kagabiro walikuta kundi la vijana na walipowapekua vijana hao hawakuweza kupata pesa hizo maana profesa alikuwa keshatonywa mapema kuhusu mtego wa PCCB.

Toka waziri huyo atemeshwe kibarua chake amekuwa kijijini kwao akifanya kila liwezekanalo kuwashawishi wananchi wa kada mbali mbali kwamba yeye ameonewa na kila baada ya vikao amekuwa na kawaida ya kutoa pesa kuanzia tsh 5000 hadi 25000 kulingana na hadhi ya mtu.

Juzi alifanya mkutano na watendaji, wenyeviti wa matawi wa CCM na makatibu wao ambapo baada ya kikao kwasababu walikuwa wengi waliambulia shs5000 na wengine 6000.

Watu wanajuuliza kweli na profesa anatimza ahadi zake kwa wananchi kupitia hongo kwa viongozi au ndo mambo ya ESCROW yameanza kufanya kazi?

Muleba tumebaki midomo wazi.
 
Katika hali isiyo ya kawaida leo aliyekuwa waziri wa Ardhi nyumba na maendeleo ya makazi Profesa Anna Tibaijuka ameponea chupuchupu baada ya vijana wa PCCB Wilayani Muleba kuvamia nyumbani kwakwe ghafla baada ya kupata tetesi kuwa alikuwa akigawa hongo kwa vijana wa mjini hasa wachuuzi wa ndizi ambao walikuwa wamejumuika kwake baada ya kuwaarika.

Alibainika mapema leo asubuhi kuwa profesa Anna anakikao na vijana hao na mwaliko wao uliambatana na ahadi ya pesa. Baada ya vijana wa PCCB kujulishwa kuhusu mchezo huo walijipanga kuhakikisha wanafanya kazi yao lakini taarifa za PCCB kujipanga zilimfikia Profesa kabla hajaanza kutoa rushwa.

PCCB walipovamia nyumbani kwake Kagabiro walikuta kundi la vijana na walipowapekua vijana hao hawakuweza kupata pesa hizo maana profesa alikuwa keshatonywa mapema kuhusu mtego wa PCCB.

Toka waziri huyo atemeshwe kibarua chake amekuwa kijijini kwao akifanya kila liwezekanalo kuwashawishi wananchi wa kada mbali mbali kwamba yeye ameonewa na kila baada ya vikao amekuwa na kawaida ya kutoa pesa kuanzia tsh 5000 hadi 25000 kulingana na hadhi ya mtu.

Juzi alifanya mkutano na watendaji, wenyeviti wa matawi wa CCM na makatibu wao ambapo baada ya kikao kwasababu walikuwa wengi waliambulia shs5000 na wengine 6000.

Watu wanajuuliza kweli na profesa anatimza ahadi zake kwa wananchi kupitia hongo kwa viongozi au ndo mambo ya ESCROW yameanza kufanya kazi?

Muleba tumebaki midomo wazi.

Cc Proff,Mama Anna Tibaijuka
 
Last edited by a moderator:
Anadhalilisha maprofesa wenzake waliotulia except prof. Muongo na yule aliyepuliziwa perfume ya uprofesa na wachina ili wapate gesi na meno ya tembo.

Nimecheka sana kapuliziwa perfume ya uprof, nimemtumia mtu hii post kacheka sana! Big umembandua huyo prof wa kichina
 
Kamugunga nafikiri ungeweza kutumia akiri kiogo ingekusaidia angalau watu waweze kukubali huu ushabaki wa kipumbavu. Kama Anna alifanya makosa kuliko wengine basi ina maana Tanzania ingelikuwa nchi ya pekee ktk bara la Afrika. Yaani mtu mzima unatumia muda wako kuleta habari za chuki humu jamani? Hivi unawajua mafisadi papa au hapana? Basi tumia huu muda kuwaandika hao na wala si kuleta chuki za kibnafsi hapa. Na hii tabia ipo hapo MLB! Na siajabu wewe unaongozi kikundi hiki cha chuki! Shame on YOU!

Mimi nafikiri na wewe una matatizo, kanusha kwa facts, siyo hizo ngonjera zako!
 
Mwakani naenda kupambana nae kupitia chama cha kidemokrasia tuone kama mdomo ataurefusha tena labda wanipambanishe na Alfred Tibaigana nasikia nae yumo hapo patachimbika.
 
Kamugunga nafikiri ungeweza kutumia akiri kiogo ingekusaidia angalau watu waweze kukubali huu ushabaki wa kipumbavu. Kama Anna alifanya makosa kuliko wengine basi ina maana Tanzania ingelikuwa nchi ya pekee ktk bara la Afrika. Yaani mtu mzima unatumia muda wako kuleta habari za chuki humu jamani? Hivi unawajua mafisadi papa au hapana? Basi tumia huu muda kuwaandika hao na wala si kuleta chuki za kibnafsi hapa. Na hii tabia ipo hapo MLB! Na siajabu wewe unaongozi kikundi hiki cha chuki! Shame on YOU!
Hata hueleweki unataka kusema nini,hukanushi unadai tu ni chuki binafsi,mara kuna mafisadi papa zaidi yake.unataka kusema nini,au ni ndugu yako huyu unaumia kwa yanayomkuta.
 
Haya Makubwa! Mimi mwenyewe niliudhuria semina ile ya Wafanyabiashara ya Ndizi wilayani Muleba. Semina ile ilitokana na maombi ya wafanyabiashara hawa kupitia mratibu wao Bwana Evodius (0754766621), siku ya tarehe 02.jan.2015 kwenye kikao cha viongozi wa chama wa Matawi na Kata.

Katika semina ile wafanyabiashara walimueleza Mbunge kuwa wanasumbuliwa na masoko, kwani wakipeleka Ndizi kule Dsm, Mwanza, Igunga n.k. Huishia kuwaachia Ndizi zile kwa mikopo bila kupewa hela taslimu na kurudi nyumbani kusubili hela nyumbani na wakati mwingine huishia kutapeliwa.

Waliomba Mbunge awatafutie mawakala ambao wanaweza kuwasimamia kuchukua Ndizi bila mikopo. Hapa rushwa ilitokea mlango gani?. Ni maajabu sana hata ukifuatilia PCCB, Muleba hata Bukoba, hakuna Ofisa yoyote aliyefika pale, sijui bwana Kagugu habari yako ina ukweli kiasi gani?

Kuhusu kikao cha viongozi wa CCM, ngazi ya Matawi,Kata na Wilaya, huu ni utaratibu ambao umekuwepo tangu Mwaka 2011. Utaratibu kila mjumbe huwa anawezeshwa nauli ya tsh.5,000
Na Tsh.10,000 kwa wale wajumbe wa visiwani walioudhuria pale. Kikao cha juzi Mgeni rasmi alikuwa
Ktb/CCM/Mkoa. Hivi rushwa ilitokea mlango gani?

Bwana Kagugu mbona hajatoa taarifa ya semina ya TASAF, iliyofanyika Naflini Hotel Muleba, ambapo Mkuu wa Wilaya alikuwa mgeni rasmi, Wajumbe wote K/Ulinzi na Usalama, Madiwani wote, na Mbunge mwenyewe waliudhuria na kupewa posho ya 180,000, ambayo Mbunge hakuichukua?. Hivi PCCB walitoka wapi?. Ushauri wangu hata kama mtu humpendi, sio vema na haki kutoa habari ya uongo. Bwana Kagugu, put your brain in gear before opening your mouth.
 
Anastahili Pingu maana migogoro ya ardhi sasa ni nchi nzima... Wawekezaji wa Prof Tibaijuka wamechukua ardhi ya wananchi na sasa wananchi wanapambana kurejesha ardhi yao...

RockSpider nafikiri tatizo kwako ni ajira tu. Kwa sababu wewe na wengine JF ndiyo ofisi yenu sioni ajabu kuja na nonsense issues kama hizi. Hivi kweli mnategemea kujenga familia zenu pamoja na nchi yenu kwa tabia kama hizi? Sijui wewe unatokea kanda gani ya nchi hii? Hebu jaribu kuwa innovative ktk mambo ya kujenga familia yako kuliko kuifanya JF ofisi ya tumbo lako!
 
Back
Top Bottom