Malafyale
JF-Expert Member
- Aug 11, 2008
- 13,813
- 11,126
Mkuu:
Nchi ni lazima iongozwe na sheria.
Kwenye tahariri yake na media Mama Tibaijuka alisema"wale waliochukua maeneo ya wazi ni bora wangejisalimisha sasa ili tuongee nao"
Kwenye sheria hii kauli haipo;kama ana ushahidi kuwa kuna watu wamechukua kiharamu ardhi iliyotengwa na serikali kwa shughuli za wazi basi yeye HAMNA KUONGEA NAO watu kama hao, anachotakiwa ni kuwapeleka mahakamani wakaonane Mahakama!
Au ni yale mambo ya EPA kwa mgongo wa ardhi?Unayemtuhumu kwa uharifu unamuita ofisini kwako kuongea nae nini?