Utagundua kuwa profssor Tibaijuka anatazamia majibu kwa dr Kikwete. Dr JK aliomba wale wezi wa pesa za EPA ambao hawakuvunja milango wala kufuli za BOT wajisalimishe.
Sasa sijui tuseme haya ni maombi au ni amri.
Teh Teh
Na mtu nayemiliki VIWANJA VINGI VYA WAZI DAR ni CCM, Maeneo yote ya wazi ni mali yao sasa unategemea nini?
Unaandika nini wewe!
Miji yote Duniani ina maeneo ya wazi. Kwingine hupandwa hata miti ikawa misitu kati kati ya jiji. Inaitwa breathing space.
Sasa wewe unasema eti walinunua kihalali. Hakuna halali hapo. Unaijua sheria yetu isemavyo? Unamjua mtu mwenye uwezo wa kubadili matumizi ya ardhi nchi hii ni nani?
Andika yaliyo na muelekeo. Mtu binafsi huwezi kununua eneo la wazi ukasema eti ni halali. Hata upewe na Rais, ni makosa.
Well said kazinLets wait and see
Tutaona kama anaweza nyang'anya mtu aliyeko madarakani kiwanja.. sanasana wataishia kuwafuata watu walitoka zamani madarakani. Sio kwamba watu walivamia, ila walikuwa wakiuziwa na maafisa wa ardhi pale wizarani. Angeanza kushughulika na hao maafisa wa wizarani kwanza. Inatushangaza mpaka sasa hajaona huozo pale wizarani!Jamani kumbukeni Tibaijuka yuko pale kutenda na kutimiza ya yule aliyempeleka, aliyempeleka ni JK, hapa hatuwezi kupata jipya, zaidi ni kwamba ataendeleze yaleyale ya watangulizi wake. Ndani ya CCM hakuna kiongozi anayeweza kutenda yaliyo safi hata kama yeye ni msafi, kwani msingi wa chama chake na wakubwa zake ni michafu na inanuka uvundo.
Na pale Palm Beach nasikia wajanja wameshaweka uzio. Mwisho jiji lote la DSM litafanana na Bombay, no open space.
i think she needs to come up with a comprehensive plan kuliko crisis management... she ahs five year to work so crisis management itamchosha hata kabla ya june mwakaniKwa kawaida yetu watanzania si mda mrefu tutamuona huyu mama mbaya na huwa hafikirii yale ayafanyayo
Ngoja tusubili.
Nilimsikia Mama akiongea jana, i could not believe kama yeye anaweza kuongea vile. Yaani the way she talks huwezi amini ni Waziri coz hakuwa anapangilia maneno yake, anarudia rudia vitu huoni "authority" katika alichokuwa anaongea....mmmhh sijui. Huyo ni Prof nasikia. May be she is organised when in English lakini jana mmh, sijui wengine kama mlimsikiliza...