kanyasu
JF-Expert Member
- Feb 9, 2009
- 234
- 18
natamani ningekuwa rais ningeifanya zenj mkoa na hao vimbelembele kama jusa ningewarudisha kwao uaharabuni, hawa ndio wanaotududisha nyuima. Tanahitaji raisi mbabe ndio tuendelee. La sivyo hatutafika mahali. Huyu jussa ni ni mtu hatari na si mzalendo kabisa ni mamluki
zanzibar ni kimeo,kama noingekuwa raisi kesho naifanya kuwa wilaya za tanga na dsm,kila kukicha chokochoko hawa jamaa wanzani sisi tunawategemea kwa lipi? Ama kweli hawa jamaa wan roho za waarabu,tunawang'a ng'ania wa nini?