Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Jamani mama yetu prof. Tibaijuka amepokea tuzo ya heshima ya jiji la Gottenrberg Sweden na kuwa mtu wa kwanza kupokea tuzo binafsi kwa kuheshimu uhamasishaji wa kuweka mazingira salama.
Tunampongeza mama yetu kwa kuendelea kujaza tuzo kwenye kabati zake.
Kila la kheri.
Tunampongeza mama yetu kwa kuendelea kujaza tuzo kwenye kabati zake.
Kila la kheri.