Prof. Tibaijuka adhalilishwa mkutano wa kampeni za maoni CCM, Mkutano wavunjika

Duuh, CCM wanazomeana wao kwa wao na kunyweshana viroba siyo?

Au inawezekana kulikuwepo na jamaa na kinamama wa "people's power" pale waliovalishwa magwanda na khanga za kijani na njano?
 
Mkuu kwani hajui kwamba Nshamba ni ngome ya Mh.Masillingi? Hapo hivyo ni wazi walio fanya labsha walikuwa wamepangwa in advance kufanya usanii!

Wilaya wa Muleba ina kata chungu nzima sio Nshamba tu,huyu mama atashinda tena Ubunge kutokana na wapiga kura walio wengi wanamkubali.
Atashinda sana ikizingatiwa kuwa wazomeaji wamepangwa kwa kazi hiyo.Muleba Kusini ni kubwa na ina watu wengi pamoja na wa visiwani.
 
wananchi wengi wanaelewa nn maana ya demokrasia na uhuru wa kuchagua...

wamechoka kuburuzwa na kuonwa wajing!a.
 
hahahhahahaaa nataka na leo tena aseme kuwa ni Chadema....
lusungo MANI tpaul BAK zumbemkuu mmeiona hii kitu lakini? Kama hmana bundle niambieni faster mje muone hii video

huu ndio mwanzo wa mwisho wa CCM baada ya Mungu kusikia kilio cha watanzania na kuwachanganya lugha maCCM kama vile alivyowachanganya wajenzi wa mnara wa Babeli. na bado, kitaeleweka tu!
 
Last edited by a moderator:
Haya mambo ya video kwenye mkutano ndio maana Ndugai kidogo ampeleke mtu kuzimu manake ni fedheha tupu
 
siungi mkono tabia ya kuzomea wasomi wetu. najuwa Anna ameponzwa na mfumo wa kiwizi-wizi wa ccm, lakini utu wake na hadhi yake kama professor havipashwi kudharauliwa hata kidogo kwa kisingizio chochote. tuwache siasa za majitaka.
Very ignoramus comment. Eti tuheshimu utu na hadhi ya mtu kwa vile ni professor. Sijawahi kuona comment bone-headed kama hii
 
Back
Top Bottom