PROF.SOSPETER MUHONGO AWAKOSHA WATANZANiA W

PROF.SOSPETER MUHONGO AWAKOSHA WATANZANiA W

Hopeless Muhongo, kwa vile watanzania hawana fedha ya kuwekeza, ndio anahalalisha maliasili zetu kupoolwa kutuachia mashimo. Mnamsifia kwa lipi katika hotuba yake ya leo. nilidhani ataongelea namna ya kuwawezesha watanzania wachimbe! Nyeree alisema myaache mpaka hapo mtakapokuwa tayari. Au kuwer na win win situation. critically thinking mind inayojali maisha ya watanzania hawezi sifia hotuba ya kibepari kama hiyo

Msomi mzuri kwangu Mimi Hi yule anayetumia elimu na ujuzi wake katika kuwatumikia na kuwanufaisha wananchi ambao kuyokana na modi zao ameweza kusomeshwa hadi alipofikia. Kinyume cha halo Kama so mchumia gumbo ama ni kibaraka wa waporaji tunaowaita multi nationals.. Kama nchi ndogo km Malaysia ktk miaka ya 80 iliweka mikakati ya maksudi ya kuwapa mitaji na ardhi wanachi wakewa kipato cha think Ili walime mawese, iliyoiwezesha nchi hiyo baada ya miaka Kumi kuwa mzalishaji mkuu duniani wa mafuta ya mawese, Tanzania inashindwa mini kuiga mfano huo?!!
 
Alichoongea Sospeter hakina tofauti na mijiahadi ya JK wakati wa kampeni za Urais, ni maneno matamu ambayo ukuja kwenye utekelezaji utakao husisha maendeleo ya 1 kwa 1 kwa mwananchi ni ZERO.
 
Mimi naamini kuwa tukiacha siasa basi kila kitu kinawezekana. Muhongo is very right na hataki kuweka siasa kwenye uhalisia. Swala la arogance ni la mtu binafsi hata wewe una udhaifu wako binafsi.

Magufuli, Mwakyembe na halima mdee ndiyo style yao. Wanaleta researched data nawe bisha kwa data. Hoja kwa hoja si hoja kwa maneno.

Hao malaysia, china na wengineo tunaowataja na ujanja wao hawajihusishi na utafutaji wa mafuta wanasubiri wainvest kwenye visima na si kupoteza hela bila kuju mafuta yapo kwenye kitalu ama la.

Tujikite kwenye fikra si maneno tu
 
Wewe Chizi nini au umesahau kumeza dawa zako ulizopewa MIREMBE? kamka una akili hata mara moja huwezi shabikia mjinga mjonga kama Muwongo.
 
Ni kipi?kinachosababisha serikali ya tanzania kuwa na uharaka wa kuuza vitalu zaidi ya 15 kwa haraka haraka?kwanini serikali isiamue let say gesi iliyokwisha patikana tayari,tuongeze visima 3 tu,ambayo itatusaidia ndani ya nchi na kiasi exportation,why tunataka kuchimba ikibidi yote,bila kuangalia vizazi vyetu vya baadae tunaviachia maliasili na hazina gani,au macho na akili zetu zinaishia katika saizi ya miguu yetu bila kufikiri kesho huu ni UBINAFSI mbaya kupindukia,nchi zote makini hazifanyi upuuzi huu
 
Ukiona mtu anashabikia na kufurahia kuwa mtumwa ni jambo la hatari sana ,na ni hatari zaidi pale mtu huyu anaposhabikia kuwa mtumwa nyumbani kwake akitumikia mali yake kwa manufaa ya wengine.
 
Yeye siyo mwanasiasa kwa hiyo usitegemee lugha yake ikufurahishe wewe...anaendeshwa na ukweli na ushahidi sio propaganda na maneno ya kutia moyo uongo....
 
Hopeless Muhongo, kwa vile watanzania hawana fedha ya kuwekeza, ndio anahalalisha maliasili zetu kupoolwa kutuachia mashimo. Mnamsifia kwa lipi katika hotuba yake ya leo. nilidhani ataongelea namna ya kuwawezesha watanzania wachimbe! Nyeree alisema myaache mpaka hapo mtakapokuwa tayari. Au kuwer na win win situation. critically thinking mind inayojali maisha ya watanzania hawezi sifia hotuba ya kibepari kama hiyo

'Win Win situation ipi zaidi ya hii?
Tanzania changes the terms of its oil and gas contracts - Business - www.theeastafrican.co.ke
 
Back
Top Bottom