Wakuu jana nimeangalia mhadhala juu ya katiba ulioendeshwa na Prof. Shivji kupitia ITV, lazima nikiri mzee huyu mbali ya kuwa na weredi wa kupindukia kwenye medani ya sheria na katiba ni mzalendo wa kutukuka. Anaelimisha vizuri sana suala zima la maana na umuhimu wa katiba, historia ya katiba, mchakato wa upatikanaji wa katiba mpya.
Jana ilikuwa kipindi cha pili mhadhala utaendelea tena jumatano saa tatu kamili usiku, ni live itv. Fuatilieni wakuu.
Jana ilikuwa kipindi cha pili mhadhala utaendelea tena jumatano saa tatu kamili usiku, ni live itv. Fuatilieni wakuu.