Heri ya siku kuu na mapumziko,
Nikiwa nafatilia ITV leo katika kipindi cha Dakika 45, profesa shifji kajadili mambo mengi, ika mimi naleta la wamasai kuhamishwa Ngorongoro.
Anasema mwaka 1958 walihamishwa kutoka serengeti kwenda Ngorongoro kwa ahadi ya kutokuja kuhamishwa tena na serikali ya kipindi hicho ya kikoloni. Hii ilikuja baada ya serengeti kutangazwa hifadhi ya kitaifa.
Anaendelea kusema kwamba, kuhusu wamasai kutengewa eneo maalum kuhamia uko, anahoji ni kweli wameshirikishwa? Maana anaona baadhi wanasema hawajashirikishwa huku baadhi wakikiri kushirikishwa.
Juu ya hoja ya hifadhi kuhofiwa kutoweja kwa ongezeko la watu, anahoji basi mamlaka zinyumbue.
Kati ya watu walioongezeka, tujue wamasai ni wangapi na wasio wamasai ni wangapi. Anaamini si kweli walio ongezeka wengi ni masai.
ANAMALIZIA KWA KUHOJI, "KWANINI ZOEZI LIWE LA HARAKA? KWANINI LISIPEWE MUDA KUFANYIKA KWA IFANISI?
Kwa mtazamo wangu, naona kuna kitu hakiko sawa. Profesa kasema kazunguka Tanzania nzima miaka hiyo ili kuishauri serikali juu ya maswala ya ardhi.
KUNA HARUFU MBAYA YA UOZO KWENYE HII PROJECT.
TAZAMA VIDEO YAKE HAPA
Naendekea ku u crop itapanda punde
Updates...
Hii simu ninayotumia( samsung galaxy) hainipi option ya ku crop video walau iwe ya dakika moja, maana ni dakika tatu na ushee ni ni mp4 yenye ukubwa wa mb 480. Mwenye clip fupi ashee haoa, zaidi nime screen shot picha tu.
Nikiwa nafatilia ITV leo katika kipindi cha Dakika 45, profesa shifji kajadili mambo mengi, ika mimi naleta la wamasai kuhamishwa Ngorongoro.
Anasema mwaka 1958 walihamishwa kutoka serengeti kwenda Ngorongoro kwa ahadi ya kutokuja kuhamishwa tena na serikali ya kipindi hicho ya kikoloni. Hii ilikuja baada ya serengeti kutangazwa hifadhi ya kitaifa.
Anaendelea kusema kwamba, kuhusu wamasai kutengewa eneo maalum kuhamia uko, anahoji ni kweli wameshirikishwa? Maana anaona baadhi wanasema hawajashirikishwa huku baadhi wakikiri kushirikishwa.
Juu ya hoja ya hifadhi kuhofiwa kutoweja kwa ongezeko la watu, anahoji basi mamlaka zinyumbue.
Kati ya watu walioongezeka, tujue wamasai ni wangapi na wasio wamasai ni wangapi. Anaamini si kweli walio ongezeka wengi ni masai.
ANAMALIZIA KWA KUHOJI, "KWANINI ZOEZI LIWE LA HARAKA? KWANINI LISIPEWE MUDA KUFANYIKA KWA IFANISI?
Kwa mtazamo wangu, naona kuna kitu hakiko sawa. Profesa kasema kazunguka Tanzania nzima miaka hiyo ili kuishauri serikali juu ya maswala ya ardhi.
KUNA HARUFU MBAYA YA UOZO KWENYE HII PROJECT.
TAZAMA VIDEO YAKE HAPA
Naendekea ku u crop itapanda punde
Updates...
Hii simu ninayotumia( samsung galaxy) hainipi option ya ku crop video walau iwe ya dakika moja, maana ni dakika tatu na ushee ni ni mp4 yenye ukubwa wa mb 480. Mwenye clip fupi ashee haoa, zaidi nime screen shot picha tu.