macho_mdiliko
JF-Expert Member
- Mar 10, 2008
- 21,796
- 39,595
Nadhani uelewa wako wa mambo ni mdogo. Katiba ikiwa nzuri haiwezi kutoa nafasi ya kuvunjwa na anayeivunja akasalimika. Akitokea rais mshenzi kama Magufuli akakatiza mikutano ya vyama kwa ujinga na woga wake, mahakama na bunge vitamuwajibisha kwa sababu katiba imeviweka huru. Hii katiba tuliyonayo inawafanya wabunge na majaji wamtii rais kwa sababu ndiye bosi wao.Wewe machaga, matakwa ya watu huwa yanaheshimiwa kwa shinikizo la watu kwa umoja wao.
Marekani wana katiba bora sana, mbona kuna mambo kufanyika mpaka waandamane. South Afruca ni vile vile na Kenya.
Hivi mnafikiri katiba inashika bunduki na kutishia watu wafuate matakwa ya watu?
Haya COVID-19 wako bungeni kinyume na katiba hii hii mbovu, mmefanya nini ?
Kila mtu anataka vitu vizuri akiwa amekaa amekunja nne, anakunywa wine.
Haya, Hata hiyo katiba mpya ikiwa unavyotaka, ikivunjwa makusudi mtafanyaje ?