Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 121,032
- 227,185
Sichangii chochote angalia mwenyewe
"Kasi ya ubinafsishaji/ugenishaji wa rasilimali za taifa inatisha. Ubinafsishaji kiholela ni ufujaji wa mali ya umma= uwizi wa jasho la wazalishaji.Tujifunze kutoka historia.Hakuna nchi inayoweza kuleta maendeleo halisi ya waliowengi bila kuthibiti njia nyeti za uchumi wake"
Kauli Prof. Shivji baada ya Serikali kukabidhi Shirika la la Umma la Wakala wa Mabasi yaendayo haraka (DART) kwa kampuni ya Dubai kwa ajili ya kuendesha shirika hilo.
Pia soma
- Kampuni Kutoka Dubai Yashinda Zabuni ya Kuendesha Mwendokasi
"Kasi ya ubinafsishaji/ugenishaji wa rasilimali za taifa inatisha. Ubinafsishaji kiholela ni ufujaji wa mali ya umma= uwizi wa jasho la wazalishaji.Tujifunze kutoka historia.Hakuna nchi inayoweza kuleta maendeleo halisi ya waliowengi bila kuthibiti njia nyeti za uchumi wake"
Kauli Prof. Shivji baada ya Serikali kukabidhi Shirika la la Umma la Wakala wa Mabasi yaendayo haraka (DART) kwa kampuni ya Dubai kwa ajili ya kuendesha shirika hilo.
Pia soma
- Kampuni Kutoka Dubai Yashinda Zabuni ya Kuendesha Mwendokasi