Mzee Wa Sumu
JF-Expert Member
- Apr 17, 2013
- 643
- 68
Mkuu safari alivitaja hivyo vitabu we unaficha nini baadhi ni development and religion in Tanzania kilichoandikwa na jan pven Berger,the partner ship cha Aboud jumbe .kanisa katoliki na siasa Tanzania cha dr svlon na Mfumo kristo na Dhulma dhidi ya haki za waislam nchini kilichoandikwa na kamati ya makongamano ya kiislamu. Ukisoma hivi vitabu utaona wakristo namna wanavyopendelewa heko safari kwa kisema ukweli .