Dupe
JF-Expert Member
- Jan 21, 2013
- 1,668
- 813
Akihojiwa na "DW BORN" leo mchana prof. Abdalah Safari amesema maandamano yapo palepale kwa polisi hawana mamlaka ya kutoa kibali cha maandamano bali wao wanapewa taarifa tu, kama kusitisha maandamano basi ni kunakiwa na makubaliano kati ya polisu na waandamanaji ila si kuzuia maandamano.