theriogenology
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 8,750
- 15,641
Asante ila pia nilitaka kukasirika uliponiita Babu, kwasababu hatupendi kuzeeka, ila nilipokumbuka, my 1st born has a kid, my 2nd born has a kid and my 3rd born ni mama kijacho ndipo nika realize I'am indeed a Babu.
Ukubwa dawa, uzee Busara.
P
Hahah ukiona hutaki kuukubali ukweli wa wewe kuwa babu, jua upande wa pili kuna vitu hukuvitimiza pindi ulipokuwa kijana Mkuu , Hapo kwa watotolaiti ungekuwa na binti mwingine bado hajapata Mchumba ningekuletea Maksai wa kutosha kutoka kanda Maalamu. Hakika hakuna kijana wa kitanzania asiependa kuchanganya damu nammoja wa Mogul wa kubwa katika tasnia ya uandishi wa habari hapa nchini.
Mimi Nakutabilia mazuri katika awamu ya pili ya Mzee wetu huyu ambae ameamua kuvaa viatu vya late J.K. Nyerere na hakika vimemtosha vizuri bila kupwaya.