Prof. Palamagamba Kabudi atangaza Tanzania kuwa M/Kiti na mwenyeji wa mkutano 39, wa SADC

Ni vyema tujitahidi sasa kuishi kwa faida ya watu wetu kama USA, kuwepo kwetu kwenye hizi jumuiya kuwe kwa faida ya watu wetu na sio kuishia kwenye makongamano, warsha, vikao nk.

Malawi, Zambia, Botswana ni land locked, hebu tutumie fursa yetu yakuwepo SADC kuboresha reli ya Tazara na kujenga KONTENA TERMINAL kubwa pale Tunduma na KONTENA zao zote zifike pale kupitia reli. Wanapoagiza mizigo yao kutoka Nje kupitia shirika lolote la Meli kuwe na Connection ya moja kwa moja KONTENA zipokelewe Tunduma na kila kitu kifanyikie pale na Dar es salaam port iwe transit port na pale Tunduma iwe destination port. Mizigo ya DRC hasa Katanga province yote itaishia kwenye hiyo terminal..

Hicho pia kinaweza fanyika Kigoma na Bukoba, Unajenga Kontena terminal kubwa na zinakuwa destination port kwa mizigo ya DRC hasa Kivu, Bukavu nk, Wanyarwanda na Waburundi pia watachukulia Kontena zao straight kwenye hizi terminal.

Miji ya MBEYA, TUNDUMA, KIGOMA NA BUKOBA Itkauwa Centre of business na mzunguko wake utakuwa mkubwa, kipato cha wakazi kitakwenda juu, watu watapata ajira nyingi, mikoa hiyo itaendelea kwa kasi, Dar es salaam Msongamano utapungua lakini pia Bandari itakuwa busy na mapato kuongezeka.. VERY SIMPLE IDEA TUJARIBU KUWA WABINAFI WA TAIFA LETU.
Zambia Malawi kuna reli inajengwa tokea Beira kwa taarifa tu baada ya kuchoshwa na unyanyasaji Dar
 
SADIC ilianzishwa rasmi mwaka 1992, baada ya kuvunjwa kwa Front Lines States, ina nchi 16 zenye watu milioni 450, hivyo Tanzania ni muanzilishi.
P
 
Zambia Malawi kuna reli inajengwa tokea Beira kwa taarifa tu baada ya kuchoshwa na unyanyasaji Dar

Bado hatujachelewa, this is business, TISS waache kulala wafanye kazi sasa kujua udhaifu wa maadui ili tupitie hapo.

Kontena Terminal TUNDUMA bado itatulipa na inakuwa destination ya moja kwa moja kutoka nje huku Dar-port inakuwa kama transit port na Kontena zao wanazikuta mdomoni Tunduma hatujachelewa bado.. Wafanya biashara wetu wakopeshwe mitaji kuagiza mizigo kulingana na mahitaji ya hizi nchi na magodown yanakuwepo pia maeneo haya, Tunaingia mikataba na Makampuni ya kijapana yanayouza Magari yanaweka mayard ya Magari maeneo hayo, Makampuni ya kichina na kihindi yenye kuuza mitambo mbalimbali yanakuwa na yard maeneo hayo, Hii itachochea wingi wa route za meli kuja Dar es salaam kuliko Beira hapa tutawakamata wafanyabiashara wa hizo nchi kwa ajili ya uharaka wa mizigo kufika.
 
Kabudi amemaliza kuongea. Miongoni mwa waliopo ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, hivyo sasa Makonda anatoa vote of thanks.

P.
 
Amempongeza Kabudi kwa press conference hii, kuwa sio press conference tuu, bali Kabudi ametoa press conference darasa, maana Kabudi amepiga shule.
P
 
Mkutano huu utakuwa na wageni zaidi ya 800, hivyo amewaomba, wamiliki wa mahoteli, wawe wakarimu sana kwa wageni wetu ili wakitoka, watamani kurudi tena nchini.
P
 
Back
Top Bottom