Prof. Ndalichako tusaidie kutatua kero hizi chuo cha ualimu Tarime

makalango

JF-Expert Member
Feb 10, 2017
448
252
Habari wakuu poleni na majukumu ya hapa na pale ningependa niende moja kwa moja kwa habari yangu kuhusu changamoto kubwa inayokikabili chuo cha ualimu tarime kilichochopo mkoa wa mara hiki chuo ni miongoni mwa vyuo vya ualimu vya serikali vikongwe kabisa walio soma hapa watakuwa mashihidi lakini licha ya ukongwe wake kuna changamoto kubwa mno kama ifuatavyo; _

1.Majengo; kuanzia kwenye ofisi za wakufunzi, madarasa, mabweni yamechoka yani mabweni mengine yana kreki yani serikali mkinusuru hiki chuo kozi ni nyingi lakini cha ajabu ata meza au viti siyo vya kutosha yani.

2: Maji :ni tatizo kubwa maji siyo ya kutosha yana siyo ya uhakika kisima kimoja hakikidhi mahitaji ya walimu tarajali wa hapa

3:Kozi nyingi sana zimekilemea chuo majengo hayatoshi Ndalichako angalia hili ili kuwepo na mazingra mazuri kulingana na idadi ya wanafunzi

4 Narudia tena hoja kuwa mabweni ya wanaume yamechoka huenda ndio chuo cha kwanza kuwa na mabweni ya yalichoka Tanzania nzima ikiwezekana viongozi mtembelee hiki chuo kwa kushtukiza mufike kwenye mabweni na vyoo vya wanaume hali ni tete sana huku.

Nina imani kuwa habari zimefika ni bora kufika chuo muone hali halisi ya chuo hiki mama Ndalichako please fika hapa ujione hali ya hiki chuo.
 
Sio tarime peke yake, vyuo vingi vikongwe ni choka mbaya. Serikali haina mpango navyo.
 
Nimebahatika kufika vyuo vitatu vya ualimu Tanzania, Butimba, Kreluu na Tarime maana advance nimesoma hapo Tarime... Aseeeh mtoa mada hicho chuo kinatia huruma, chuo kimechoka sijapata kuona afu mwaka huu naona mpaka Stashahada wanatoa... Butimba kinabaki kuwa chuo Bora zaidi kwa mazingira....
 
Fanya kilicho kupeleka hapo kisha sepa, hayo mengine waachie wenyewe.
 
Fanya kilicho kupeleka hapo kisha sepa, hayo mengine waachie wenyewe.
Eti ndiyo akili na mawazo ya wazalendo wetu. Hivi nyie mna akili za aina gani ,kwahiyo ukiona tatizo sehemu usiseme bali ufanye tu kilichokupeleka uondoke? Yakiibuka magonjwa ya milipuko watu wakafariki utasemaje?, Nyumba hizo zenye nyufa zikidondokea wanafunzi ndiyo utafurahi?
 
Nimebahatika kufika vyuo vitatu vya ualimu Tanzania, Butimba, Kreluu na Tarime maana advance nimesoma hapo Tarime... Aseeeh mtoa mada hicho chuo kinatia huruma, chuo kimechoka sijapata kuona afu mwaka huu naona mpaka Stashahada wanatoa... Butimba kinabaki kuwa chuo Bora zaidi kwa mazingira....
Kweli mkuu hiki chuo kimezeeka kweli yani huenda ndio kibovu zaidi Tanzania yani utafikiri shule ya msingi tena ya kijijini
 
Eti ndiyo akili na mawazo ya wazalendo wetu. Hivi nyie mna akili za aina gani ,kwahiyo ukiona tatizo sehemu usiseme bali ufanye tu kilichokupeleka uondoke? Yakiibuka magonjwa ya milipuko watu wakafariki utasemaje?, Nyumba hizo zenye nyufa zikidondokea wanafunzi ndiyo utafurahi?
Mkuu huwezi eleka kirahisi kama ujaona tatizo
 
Nimebahatika kufika vyuo vitatu vya ualimu Tanzania, Butimba, Kreluu na Tarime maana advance nimesoma hapo Tarime... Aseeeh mtoa mada hicho chuo kinatia huruma, chuo kimechoka sijapata kuona afu mwaka huu naona mpaka Stashahada wanatoa... Butimba kinabaki kuwa chuo Bora zaidi kwa mazingira....
Umesoma tarime ..hata mimi nimesoma hapo
 
Hivi pesa za ukarabati huwa zinafanya kazi gani? Ifikie hatua hizi taasisi za umma zimulikwe sasa. Haiwezekani kila mwaka watoze fedha za ukarabati lakini hakuna ukarabati unaofanyika,hizo fedha zinafanya kazi gani?
 
Habari wakuu poleni na majukumu ya hapa na pale ningependa niende moja kwa moja kwa habari yangu kuhusu changamoto kubwa inayokikabili chuo cha ualimu tarime kilichochopo mkoa wa mara hiki chuo ni miongoni mwa vyuo vya ualimu vya serikali vikongwe kabisa walio soma hapa watakuwa mashihidi lakini licha ya ukongwe wake kuna changamoto kubwa mno kama ifuatavyo; _

1.Majengo; kuanzia kwenye ofisi za wakufunzi, madarasa, mabweni yamechoka yani mabweni mengine yana kreki yani serikali mkinusuru hiki chuo kozi ni nyingi lakini cha ajabu ata meza au viti siyo vya kutosha yani.

2: Maji :ni tatizo kubwa maji siyo ya kutosha yana siyo ya uhakika kisima kimoja hakikidhi mahitaji ya walimu tarajali wa hapa

3:Kozi nyingi sana zimekilemea chuo majengo hayatoshi Ndalichako angalia hili ili kuwepo na mazingra mazuri kulingana na idadi ya wanafunzi

4 Narudia tena hoja kuwa mabweni ya wanaume yamechoka huenda ndio chuo cha kwanza kuwa na mabweni ya yalichoka Tanzania nzima ikiwezekana viongozi mtembelee hiki chuo kwa kushtukiza mufike kwenye mabweni na vyoo vya wanaume hali ni tete sana huku.

Nina imani kuwa habari zimefika ni bora kufika chuo muone hali halisi ya chuo hiki mama Ndalichako please fika hapa ujione hali ya hiki chuo.
Picha mkuu
 
Ww sio mzalendo, unasema maji sio kweli hapo kwenye Hilo eneo limezungukwa na maji yakitiririka, unasema mabweni yamechoka kwani ww mabweni kuchoka kuna uhusiano na ww kusoma? Kwani kwenu unalala nyumba za magorofa? Kwani hayo mabweni yanavuja? Au unataka upige nayo picha? Dogo fuata kilichokupeleka hapo, hata kama ni chini ya mti ww soma uondoke ova
 
Mr Magige principle mfikishie barua ya wazi pengine ataliona na kutafta wadau wa kusaidia kutatua tatizo
 
Back
Top Bottom