Prof. Ndalichako: Rudisha ARU UDSM

Prof. Ndalichako: Rudisha ARU UDSM

Prof kiampa yupo ?

Nimetoka Aru 2015 kumejaa ftina kubwa pale utawala prof kasenga na prof kaseva haziivi kisa vyeo ndo wamekosa strategic hata wameshindwa kumalizia lile jengo la building
Aibu tupu cwez kufunguka humu
 
yaan ni kwel kabsa,ardh haina hadh kujitegemea,hakuna miundo mbinu kabsa
walimu wote wa ARCH, QS ni wa aru , health ni muhimbili sasa sijui hyo hadhi yenu inatoka wapi, ukiongea hata na walimu wa udsm the first thing to admit aru offers better quality education , and usual recommend one to undertake aru degree programs
 
Nakubaliana_na_ww_mkuu.
Mimi_bado_nipo_Ardhi_University,kinachoendelea_hapa_nia_aibu_tuu.

Nahisi_hawakujipanga_kuwa_University_kamili_inayojitegemea_kwa_kila_kitu.

Ni_kitu_kizuri_kuwa_na_ongezeko_la_vyuo_nchini_mwetu,lakini_Je,ubora_wa_elimu_inayotolewa_inazingatiwa!

Vyuo_tofauti,kozi_zilizosawa,na_muendelezo_wa_kuazimishana_wahadhiri...Ubora_wa_elimu_umezingatiwa_kweli?
Huu uandishi ni aibu kwa ARU na walimu wote waliokufundisha kuanzia chekechea
 
Prof kiampa yupo ?

Nimetoka Aru 2015 kumejaa ftina kubwa pale utawala prof kasenga na prof kaseva haziivi kisa vyeo ndo wamekosa strategic hata wameshindwa kumalizia lile jengo la building
Aibu tupu cwez kufunguka humu

Funguka tuu Mkuu kama mbwai acha iwe mbwai tuu
 
Prof kiampa yupo ?

Nimetoka Aru 2015 kumejaa ftina kubwa pale utawala prof kasenga na prof kaseva haziivi kisa vyeo ndo wamekosa strategic hata wameshindwa kumalizia lile jengo la building
Aibu tupu cwez kufunguka humu

Huyo kihampa sina hamu nae hata kumwona sihitaji 2013 alitaka kutufukuza chuo kisa tu tulichelewa kukusanya fomu zilizochelewa kusainiwa derpatment isingekua ukomavu wa SABINI(raisi kipindi hicho) tungeondolewa kwa makosa ya chuo
 
Ubaya walioufanya UDSM ni kuanzisha kozi hizi

BSC. BUILDING ECONOMICS
BSC. ARCHITECTURE
BSC. GEOMATICS
BSC LMV

hizi ndio kozi mama zinazoibeba ARU ila kwa ukiritimba tu UDSM wakaanzisha makusudi ili waue chuo, chakufanya wafute hizo kozi UDSM for the sake of ARU

hakuna mwanafunzi mwenye 1 yake akachagua ARU akaacha Udsm

hili swala hata AQRB na TIQS pamoja na AIA wanalijua na wanafahamu kabisa sishawahi kusikia mahali wakubwa wa AQRB wanaongea ila wanaogopa kusema nahisi
 
Prof kiampa yupo ?

Nimetoka Aru 2015 kumejaa ftina kubwa pale utawala prof kasenga na prof kaseva haziivi kisa vyeo ndo wamekosa strategic hata wameshindwa kumalizia lile jengo la building
Aibu tupu cwez kufunguka humu

Sasa hivi wameua wameunganisha unganisha school mbali mbali kua moja

mfn: scem and sade === SACEM

hali mbaya sana pale
 
Huyo kihampa sina hamu nae hata kumwona sihitaji 2013 alitaka kutufukuza chuo kisa tu tulichelewa kukusanya fomu zilizochelewa kusainiwa derpatment isingekua ukomavu wa SABINI(raisi kipindi hicho) tungeondolewa kwa makosa ya chuo
Hile ishu nilikuwepo nakumbuka xuli ya sest tulikuwepo wengi aise m kidgo aniondoe chuo 2011 kipind hicho nimepoteza result slip yaF 6
 
Ubaya walioufanya UDSM ni kuanzisha kozi hizi

BSC. BUILDING ECONOMICS
BSC. ARCHITECTURE
BSC. GEOMATICS
BSC LMV

hizi ndio kozi mama zinazoibeba ARU ila kwa ukiritimba tu UDSM wakaanzisha makusudi ili waue chuo, chakufanya wafute hizo kozi UDSM for the sake of ARU

hakuna mwanafunzi mwenye 1 yake akachagua ARU akaacha Udsm

hili swala hata AQRB na TIQS pamoja na AIA wanalijua na wanafahamu kabisa sishawahi kusikia mahali wakubwa wa AQRB wanaongea ila wanaogopa kusema nahisi
Ni mkanganyiko tu!
 
Prof kiampa yupo ?

Nimetoka Aru 2015 kumejaa ftina kubwa pale utawala prof kasenga na prof kaseva haziivi kisa vyeo ndo wamekosa strategic hata wameshindwa kumalizia lile jengo la building
Aibu tupu cwez kufunguka humu
Yuko TCU
 
Back
Top Bottom