Prof. Ndalichako: Rudisha ARU UDSM

Prof. Ndalichako: Rudisha ARU UDSM

BABA E's

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2012
Posts
354
Reaction score
136
Ingekuwa mimi ni waziri wa Elimu ningerudisha Ardhi University UDSM, maana yanayoendelea sasahivi kwenye hivi vyuo hata sielewi zaidi ya kusema ni ulafi wa madaraka hasa ukizingatia ukaribu wa hivi vyuo viwili.

Ardhi ilijitenga na UDSM lakini ikaja kuanzisha kozi ambazo zipo UDSM mfano Civil Engineering na UDSM imeanzisha BA in Architecture ambayo ipo ARU na kozi zingine nyingi. Hizo kozi zimeanzishwa lakini kwa asilimia kubwa wanategemea walimu walewale kutoka vyuo vyote viwili.

Quality ya Elimu sasa inapotea, ni mkanganyiko tu!. Nafikiri kuna haja ya kurudia kuchunguza na kujiridhisha umuhimu wa hivi vyuo viwili kujitenga.

Kwa dhambi hii hatutashangaa COICT nayo kujitenga!.
 
Ingekuwa mimi ni waziri wa Elimu ningerudisha Ardhi University UDSM, maana yanayoendelea sasahivi kwenye hivi vyuo hata sielewi zaidi ya kusema ni ulafi wa madaraka hasa ukizingatia ukaribu wa hivi vyuo viwili. Ardhi ilijitenga na UDSM lakini ikaja kuanzisha kozi ambazo zipo UDSM mfano Civil Engineering na UDSM imeanzisha BA in Architecture ambayo ipo ARU na kozi zingine nyingi. Hizo kozi zimeanzishwa lakini kwa asilimia kubwa wanategemea walimu walewale kutoka vyuo vyote viwili. Quality ya Elimu sasa inapotea, ni mkanganyiko tu!. Nafikiri kuna haja ya kurudia kuchunguza na kujiridhisha umuhimu wa hivi vyuo viwili kujitenga.

Kwa dhambi hii hatutashangaa COICT nayo kujitenga!.
hutaki tuwe na vyuo vingi ili vijana wawe na uwanja mpana wa kupata vyuo?
 
Nakubaliana_na_ww_mkuu.
Mimi_bado_nipo_Ardhi_University,kinachoendelea_hapa_nia_aibu_tuu.

Nahisi_hawakujipanga_kuwa_University_kamili_inayojitegemea_kwa_kila_kitu.

Ni_kitu_kizuri_kuwa_na_ongezeko_la_vyuo_nchini_mwetu,lakini_Je,ubora_wa_elimu_inayotolewa_inazingatiwa!

Vyuo_tofauti,kozi_zilizosawa,na_muendelezo_wa_kuazimishana_wahadhiri...Ubora_wa_elimu_umezingatiwa_kweli?
 
Nakubaliana_na_ww_mkuu.
Mimi_bado_nipo_Ardhi_University,kinachoendelea_hapa_nia_aibu_tuu.

Nahisi_hawakujipanga_kuwa_University_kamili_inayojitegemea_kwa_kila_kitu.

Ni_kitu_kizuri_kuwa_na_ongezeko_la_vyuo_nchini_mwetu,lakini_Je,ubora_wa_elimu_inayotolewa_inazingatiwa!

Vyuo_tofauti,kozi_zilizosawa,na_muendelezo_wa_kuazimishana_wahadhiri...Ubora_wa_elimu_umezingatiwa_kweli?
Mkuu kama na wewe bado uko Ardhi kweli chuo kirudi tuu Udsm.
 
Nakubaliana_na_ww_mkuu.
Mimi_bado_nipo_Ardhi_University,kinachoendelea_hapa_nia_aibu_tuu.

Nahisi_hawakujipanga_kuwa_University_kamili_inayojitegemea_kwa_kila_kitu.

Ni_kitu_kizuri_kuwa_na_ongezeko_la_vyuo_nchini_mwetu,lakini_Je,ubora_wa_elimu_inayotolewa_inazingatiwa!

Vyuo_tofauti,kozi_zilizosawa,na_muendelezo_wa_kuazimishana_wahadhiri...Ubora_wa_elimu_umezingatiwa_kweli?
Kweli huko vyuoni kwenu kuna kazi.
 
Nakubaliana_na_ww_mkuu.
Mimi_bado_nipo_Ardhi_University,kinachoendelea_hapa_nia_aibu_tuu.

Nahisi_hawakujipanga_kuwa_University_kamili_inayojitegemea_kwa_kila_kitu.

Ni_kitu_kizuri_kuwa_na_ongezeko_la_vyuo_nchini_mwetu,lakini_Je,ubora_wa_elimu_inayotolewa_inazingatiwa!

Vyuo_tofauti,kozi_zilizosawa,na_muendelezo_wa_kuazimishana_wahadhiri...Ubora_wa_elimu_umezingatiwa_kweli?
Sasa huu ni uandishi gani sasa mwana ARU

Hakika kama ndo hivi kuna ulazima wa aru kurudishwa udsm
 
Halafu baadae mtalia hakuna ajira, vyuo viliongezwa sio kwa minaajili ya kuongeza wasomi tu ila pia kuongeza fursa za ajira
Mnachotakiwa kulalamika kwa ss n uhaba waalimu na vitendea kazi katika vyuo hivo ili viboreshwe sio kulilia virudi vilipotoka
Tufikirie kujenga zaidi na sikubomoa
 
Sasa huu ni uandishi gani sasa mwana ARU

Hakika kama ndo hivi kuna ulazima wa aru kurudishwa udsm
Wenye_busara_hutafakari_kwanza,halafu_huuliza_ili_kujua_sababu.

Uandishi_wangu_hauakisi_kwa,namna_yoyote_upeo_wangu_wa_kufikili.

Wewe_na_wenzako_hapo_mlipaswa_kunihoji_ili_kujua_kwanini_style_yangu_ya_uandishi_si_yenye_kunipambanua_kama_mwanafunzi_wa_ARU.

Ukweli_ni_kwamba_kifaa_ninachotumia_kucomment_mawazo_yangu_kina_matatizo.

Na_hiyo_hainizuii_mimi_kutoa_mawazo_yangu_hata_kama_ni_katika_namna_isiyowapendeza.

Mwenye_hekima_na_busara,hutafakari_kilichoandikwa,Sio_kimeandikwaje_au_kimeandikwa_kwa_style_gani!
 
Wenye_busara_hutafakari_kwanza,halafu_huuliza_ili_kujua_sababu.

Uandishi_wangu_hauakisi_kwa,namna_yoyote_upeo_wangu_wa_kufikili.

Wewe_na_wenzako_hapo_mlipaswa_kunihoji_ili_kujua_kwanini_style_yangu_ya_uandishi_si_yenye_kunipambanua_kama_mwanafunzi_wa_ARU.

Ukweli_ni_kwamba_kifaa_ninachotumia_kucomment_mawazo_yangu_kina_matatizo.

Na_hiyo_hainizuii_mimi_kutoa_mawazo_yangu_hata_kama_ni_katika_namna_isiyowapendeza.

Mwenye_hekima_na_busara,hutafakari_kilichoandikwa,Sio_kimeandikwaje_au_kimeandikwa_kwa_style_gani!
Kwa uandishi huu sijui ukivukaje darasa la tatu.
 
Nakubaliana_na_ww_mkuu.
Mimi_bado_nipo_Ardhi_University,kinachoendelea_hapa_nia_aibu_tuu.

Nahisi_hawakujipanga_kuwa_University_kamili_inayojitegemea_kwa_kila_kitu.

Ni_kitu_kizuri_kuwa_na_ongezeko_la_vyuo_nchini_mwetu,lakini_Je,ubora_wa_elimu_inayotolewa_inazingatiwa!

Vyuo_tofauti,kozi_zilizosawa,na_muendelezo_wa_kuazimishana_wahadhiri...Ubora_wa_elimu_umezingatiwa_kweli?
Ardhi ndio mnafundishwa kuandika hivo?
 
yaan ni kwel kabsa,ardh haina hadh kujitegemea,hakuna miundo mbinu kabsa
 
Back
Top Bottom