FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,415
- 41,345
Kuwapa chini ya 8,500/= ni kuwatesa!
ndalichako ni muongo.Kabla ya HESLB kutoa majina ya mkopo lazima yaidhinishwe na wizara ikiwemo wizara ya fedha,na elimu.Lazima anafahamu,ni siasa za kijinga tu zinafanyika.Duuuu ukistaajabu ya Musa utayaona ......
Una uwakika au unaongea tuVya bure ni sumu na haitatokea Tz, elimu chuo kupewa bure, Mataifa yaliyoendelea kama America na Europe , yashindwe kutoa bure , Tz mnaanzia wapi wakat kila mara mnapiga magoti kuomba misaada? Tafakari kabla baada ya kusikia neno kwa upeo wako wote! Hata kutoa mikopo serikali imejitahidi sana, nchi za wenzetu hamnaga hizo, wanapewa discount katika ada na wazazi wanalipia watoto wao, ndo maana wanapomaliza wenzetu wanakuwa ni wazalendo kwa kusotea elimu kwa gharama zao. Wanabweteka na kukosa ubunifu kwa kusubiri vya bure!
Fanya research , usiishie kuhoji!Una uwakika au unaongea tu
we jamaa vp, watu hawachagui jambo moja tu, hata huto unaemuabudu na muongomuongo to hakuna wa kuaminikaKipaumbele ni kununua Bombadia Keshi. Elimu mlikataa ya bure kwa hiyo inaonekana pesa mnayo.
Mnajitekenya kisha mnacheka wenyewe...unacreate problem kisha unajisifu kulisolve...Only in TZNdalichako ni mama jasiri. Anaweza kusimamia. Tumuunge mkono
Waziri wa elimu sayansi na teknolojia Prof. Ndalichako amewatupia lawama bodi ya mkopo elimu ya juu kuwa wanafanya kazi kwa mazoea. Amesema pamoja na kutumia jitiada za kusafisha watumishi bodi hiyo amesema wapo watumishi bado wanafanya kazi kwa mazoea.
Prof. Ndalichako amesema ameyasikia malalamiko kutoka kwa wananchi na anayafanyia kazi na amesema wanafunzi wapewe mikopo semista hii kwa mwaka wa kwanza na wote bila kufuata mean tested.
Amesema lengo la serikali ni kuwapa wote wahitaji. Ameiagiza bodi ya mikopo kuwapa kama mfumo wa zamani na amesema bodi ya mkopo imekosea kuwapa wanafunzi shilingi elfu tano kwa miezi, kama pesa za kujikimu amesema bora kutompa.
Chanzo: TBC
Ndo Chuo kikuu kikubwa kilichopo Dar karibu na wizara ya elimu na HESLB hawana budi kupambania masilahi ya vyuo vyote.Bila umoja wa wana DARUSO wanafunzi wengi wa vyuo mbalimbali hapa nchini Tanzania wangeli teseka Sana Hongereni sana wana daruso kwa umoja wenu
Daruso ni zaidi ya TahlisoSafi DARUSO sasa sijui tawi la UVCCM (TAHLISO) wamefika wapi
Ndalichenu ni profesa kikaza, jamaa wa udsm hawautambui uprofesa wake, ametunukiwa uprof na vyuo vya kufoji vya WahindiNdalichako ni Mama jasiri. Anatosha sana. Tatizo serikali yote haina fedha, sasa mnataka afanyaje?. Inni la tatizo liko pale karibu na IFM, sio Ndalichako
Yule alesema mikopob inanunua tv na pombe atachukuliwa hatua gani?
Huo ndio ukweli, ndalichenu ni mbovu na anaendesha gari bovu kama mzee ruksa alivyo sema, hakuna jipya chini ya huyo mamayenuSheikh, tulia kidogo, naona unataka kumwaga sumu kwenye maziwa!