Tukubaliane mambo ya msingi.Madhambi serikalini ni mengi na yalikuwepo tangu wakati wa Rais wa kwanza.Nashangaa watu wanasema Escrow,richmond lakini kashfa ni nyingi buzwagi,Nyumba za Oysterbay na kwingineko,Meremeta ,IPTL,Songas,Aggreko,Kufa mashirika 90% ya umma yaliyokuwepo ,Kashfa ya ununuzi wa meli TACOSHILI,Ununuzi wa ndege mbovy za ATCL 1980 , ukodishwaji wa uwanja wa KIA ,nk. Sasa inaonekana hapa anashambuliwa mtu mmoja tu thats not fair.Kama tuna nia ya kweli tuchambue yote yaliyowahi kuturudisha nyuma halafu kama kuna kiongozi safi hata mmoja toka chama tawala
Unaongelelea vipi hii hapa chini kuhusu Mzee Mwandosya kama ilivyoletwa na Mkuu Pharaoh
Huyu mzee atakuwa ameshasahau tarehe yake ya kurudi kwenye matibabu India.
kwa style hii hata CCM-mimba atakuwa na kashfa
Mzee anarusha mawe akiwa kwenye nyumba ya vioo? Si ajabu anajiona yeye ufisadi wake aliufanya uvunguni na watu hawajui.Haya sasa Mzee Mwandosya sema suuu watu waanze kutiririka na yako.
Kati ya watu ambao huwa hawaniingii ni huyu Mzee na sijuhi kwanini ..alafu CCM mbona mnatuletea wazee sana jamani?
Yeye Mwandosya alilipwa na Rwanda aitulize Tanzania kuhusu Bunge la EA kuhamia Kigali, pia Makao Makuu ya EA Business teyari wamehama na yeye atalipiwa matibabu ya Gonjwa lake India hadi anafariki, mfadhili ni Kagame.
Ununuzi wa Radar, yeye kachukuwa USD 200,000. Abishe vyote ili tufunguke zaidi.
Lowassa ni mwizi tu Bunge lilithibitisha akatoka na uwaziri mkuu!kama siyo mbona ameshindwa kukanusha kama alivyo waahidi watanzania Siku ya kutangaza nia? mpaka sasa hajatumbia kwanini hakusema! Hata kama utaona mimi sifai kwakuwa sikubaliani na maelezo yako meeeengi ni sawa tu,hayo ndiyo madhara ya kushabikia vitu bila kufikiri na matokeo yake umekuja na maelezo meeeeeeengi kuelezea jambo ambalo hata halielezeki!
Yeye Mwandosya alilipwa na Rwanda aitulize Tanzania kuhusu Bunge la EA kuhamia Kigali, pia Makao Makuu ya EA Business teyari wamehama na yeye atalipiwa matibabu ya Gonjwa lake India hadi anafariki, mfadhili ni Kagame.
Ununuzi wa Radar, yeye kachukuwa USD 200,000. Abishe vyote ili tufunguke zaidi.
umekuwa Mwakyembe? akibisha tutasema yote,kama unajiamini ni kweli na unaguswa na uzalendo funguka! unanikumbusha utoto sema suuu!
Kuna ukweli wowote kwenye hili?Mtoto wa prof alisomeshwa na kampuni ya simu, yeye akiwa waziri. Wote wachafu
Always CCM itakuletea kilicho boraKati ya watu ambao huwa hawaniingii ni huyu Mzee na sijuhi kwanini ..alafu CCM mbona mnatuletea wazee sana jamani?