ferg
JF-Expert Member
- Mar 8, 2015
- 1,323
- 1,792
Tukubaliane mambo ya msingi.Madhambi serikalini ni mengi na yalikuwepo tangu wakati wa Rais wa kwanza.Nashangaa watu wanasema Escrow,richmond lakini kashfa ni nyingi buzwagi,Nyumba za Oysterbay na kwingineko,Meremeta ,IPTL,Songas,Aggreko,Kufa mashirika 90% ya umma yaliyokuwepo ,Kashfa ya ununuzi wa meli TACOSHILI,Ununuzi wa ndege mbovy za ATCL 1980 , ukodishwaji wa uwanja wa KIA ,nk. Sasa inaonekana hapa anashambuliwa mtu mmoja tu thats not fair.Kama tuna nia ya kweli tuchambue yote yaliyowahi kuturudisha nyuma halafu kama kuna kiongozi safi hata mmoja toka chama tawala
una akili sana mkuu.