Mzito Kabwela
Platinum Member
- Nov 28, 2009
- 18,904
- 7,746
Prof Mwandosya ndo rais wa TZ ajaye baada ya Kikwete kumaliza kipindi chake.
Ataweza kupayuka majukwaani nchi nzima wakati wa kampeni?
Prof Mwandosya ndo rais wa TZ ajaye baada ya Kikwete kumaliza kipindi chake.
Mwaka huu tunataka Rais wa umri wa kati miaka ya kinamwandosya hapana,Lowasa,membe,slaa na wengine wenye umri kama huo hapana.
Mojawapo ya vichwa vya magazeti leo,ni kuongezeka kukubalika kwa Professor Mark Mwandosya katika urais .je wadau Huyo anaweza shndana na El katka mbio hizo kw tkt ya Ccm?
Mwaka huu tunataka Rais wa umri wa kati miaka ya kinamwandosya hapana,Lowasa,membe,slaa na wengine wenye umri kama huo hapana.
Umri wa kati ndio upi, wa akina January ?
hivi wanaotengeneza ishu ni kina nani kama si watu? punguzeni kujikweza
My foot ,mwandosya na lowassa nani mgonjwa?
Labda presidential candidates wasifanyiwe vipimo vya AKILI
Tunataka mtu mwenye uwezo! Wakati wa Jk tulidanganywa hivyo hivyo kuwa ni kijana matokeo yake ni serikali dhaifu, wizi, ufisadi, mauaji ndio zao la kijana!Mwaka huu tunataka Rais wa umri wa kati miaka ya kinamwandosya hapana,Lowasa,membe,slaa na wengine wenye umri kama huo hapana.
Mwandosya mgonjwa, Rais ajae ni Lowasa
Mwaka huu tunataka Rais wa umri wa kati miaka ya kinamwandosya hapana,Lowasa,membe,slaa na wengine wenye umri kama huo hapana.