Mtasubiri sana... Lowassa asipokuwa Rais kwa Ticket ya CCM basi UKAWA wataikomboa nchi hii kutoka kwenye Utumwa wa CCM ...
Kupunguza hii long list wangeweka kigezo cha kupima ukimwi hawa wagombea ..nina imani tutapata watu wachache sana
Kama ni mkatoliki sawa
Za Asubuhi m,Jamani...
Leo nataka tumdiscuss kwa kina Mzee wetu, Prof Mwandosya, hasa Pale jina lake linapotajwa tajwa kuwepo kati ya wale wanataka kugombea Uraisi.
Kwa upande wangu....
Mzee wetu Sawa hana kashifa nzito yoyote wakati wake wote wa Utumishi, pia alikuwa alikuwa ameweza kuingia kwenye Tatu Bora,mwaka 2005. kwenye kinyang'anyiro cha kuteuliwa kuwa mgombea Uraisi kwa Tiketi ya CCM.
Kwa sasa imepita zaizi ya Miaka 50. Tangu tupate Uhuru, na changmoto za nchi hii ni nyingi sana, na Upepo wa sasa hivi wa kimaendeleo Tunamuhitaji Raisi ambaye,anaweza kukisimamia kile anachokiongea,awe holistic kwa kukemia Strongly Ufisadi pamoja Na Rushwa, na Awe Mfano ,aweze kuwachukulia hatua watu wote watakaojihusisha na mambo ya ufisadi pamoja na Rushwa Asiwe mtu wa kufunika Kombe mwanaharamu Apite. JE MZEE WETU MWANDOSYA ANAWEZA? Ataweza kuwakoromea viongozi wenzie na wanaccm wenzake wanaoafanya ufisadi na kuchukua Rushwa bila kuwafumbia Macho.
Pamoja na kwamba Tunataka Raisi Mwadilifu, Uadilifu uwe pamoja na kuwa Mkali na Mfano wa kuigwa na Mataifa mengine linapotokea Suala la Rushwa na Ufisadi.
Tuendelee kuchangia Uzi huu(tuache matusi)..........
Tanzania kwa sasa hahitaji kiongozi wa kaliba ya akina Mwandosya kabisaaaaaa,....jamaa apumzike kwa amani.
Toa na pendekezo sasa!
Prof. Mark Mwandosya mbunge wa jimbo la Rungwe Mashariki na Waziri asiyekuwa na wizara maalum amesema kuwa hatogombea tena ubunge bali urais. Ni mwendelezo wa wimbi la watangaza nia linaloshika kasi.
Chanzo : Mtanzania gazeti la leo.
Za Asubuhi, Jamani.
Leo nataka tumdiscuss kwa kina Mzee wetu, Prof Mwandosya, hasa Pale jina lake linapotajwa tajwa kuwepo kati ya wale wanataka kugombea Uraisi.
Kwa upande wangu....
Mzee wetu Sawa hana kashifa nzito yoyote wakati wake wote wa Utumishi, pia alikuwa alikuwa ameweza kuingia kwenye Tatu Bora,mwaka 2005. kwenye kinyang'anyiro cha kuteuliwa kuwa mgombea Uraisi kwa Tiketi ya CCM.
Kwa sasa imepita zaizi ya Miaka 50. Tangu tupate Uhuru, na changmoto za nchi hii ni nyingi sana, na Upepo wa sasa hivi wa kimaendeleo Tunamuhitaji Raisi ambaye,anaweza kukisimamia kile anachokiongea,awe holistic kwa kukemia Strongly Ufisadi pamoja Na Rushwa, na Awe Mfano ,aweze kuwachukulia hatua watu wote watakaojihusisha na mambo ya ufisadi pamoja na Rushwa Asiwe mtu wa kufunika Kombe mwanaharamu Apite. JE MZEE WETU MWANDOSYA ANAWEZA? Ataweza kuwakoromea viongozi wenzie na wanaccm wenzake wanaoafanya ufisadi na kuchukua Rushwa bila kuwafumbia Macho.
Pamoja na kwamba Tunataka Raisi Mwadilifu, Uadilifu uwe pamoja na kuwa Mkali na Mfano wa kuigwa na Mataifa mengine linapotokea Suala la Rushwa na Ufisadi.