Prof. Mwandosya kugombea Urais 2015

Prof. Mwandosya kugombea Urais 2015

Naskiliza uchambuzi wa magazeti hapa kupitia Morning Magic, Prof Mwandosya nae amesema anataka kuwa raisi.Habari hii imeandikwa na Gazeti la MTANZANIA, NA UHURU.

Naona mbio zinapata washiriki wa kutosha hasa
 
Ndio hao hao wanaowatuma watu kusema Lowasa mgonjwa. Kweli vituko havitakaa viishe.
Baba Sekela nae! Anadhani watanzania ni wasahaulifu wa kiasi kikubwa kihivyo mpaka kusahau kashfa zake akiwa waziri wa mawasiliano!
 
Lowassa tu!!!! Hakuna mwingine wao waendelee tu kimya kimya na kamati ya maadili imesahau majukumu.
 
Akomae tu mbna fresh kwan walotangaza nia wana nn cha zaidi.
 
Ni vema wajitokeze wengi ili tuweze kuwachuja vizuri hatimaye kupata rais bora mmoja anayetakiwa na watanzania.
 
Ndio hao hao wanaowatuma watu kusema Lowasa mgonjwa. Kweli vituko havitakaa viishe.
Baba Sekela nae! Anadhani watanzania ni wasahaulifu wa kiasi kikubwa kihivyo mpaka kusahau kashfa zake akiwa waziri wa mawasiliano!

Huyu naze atakua msahaulifu kama mtoto wake Nape Mwandosya. Huyu ndie alieifilisi hatimaye kuiua TTCL. Ngoja tuone Nape kama atamkoromea baba yake.
 
Ndio hao hao wanaowatuma watu kusema Lowasa mgonjwa. Kweli vituko havitakaa viishe.
Baba Sekela nae! Anadhani watanzania ni wasahaulifu wa kiasi kikubwa kihivyo mpaka kusahau kashfa zake akiwa waziri wa mawasiliano!

Walizusha Lowassa ni fisadi wakashindwa. Wakaja na Angenda mpya Lowassa ni mgonjwa wakashindwa. Hakuna aliyewahi kusikika akitaja mwandosya ni mgonjwa humu jamvini.

Lowassa ni zaidi ya mmjuavyo, ni zaidi ya mnavyo muona. Yeye yupo na leo nawaeleza kuwa ametumwa na Mungu kuja kuliokoa hili taifa. Ndiyo maana baada ya genge la watu fulani la wasaka madaraka kushindwa wananza kusema oh sijui kakutana Nchimbi, Oh sijui kakodi ndege kaenda kanda ya ziwa amerudi akiwa amechoka.

Afya ya Lowassa ni imara kweli. Yeye yuko kimya wamemtukana matusi yamewakauka vinywani mwenu hajasema chochote kwa sababu ana busara za kutosha alizopewa na mwenyezi Mungu.

Hajatangaza nia kama hao wengine. Nahisi siku atakapotamka wale mnaompinga hapa watachanganyikiwa.

Lowassa ukimya wako ni busara. Wanapokuombea mabaya kila siku ndiyo Mungu anatoa ufunuo dhidi za kuashinda hao. Mema uliyoyatenda Tanzania tunayaona. Wakumbuke kuwa kiongozi asiyependa lawama kamwe siyo kiongozi. Endelea kunyamaza ili wao waendelee kutunga uongo siku zote. Lakini wakae wakijua kuwa uhai wa binadamu uko mikononi mwa Mungu.
 
Lowassa tu!!!! Hakuna mwingine wao waendelee tu kimya kimya na kamati ya maadili imesahau majukumu.

Huyo jamaa yenu fisadi amejaribu kuwaua wenzie ili apunguze ushindani lakini Mungu kamuumbua sasa watashindana naye wakati yeye mwenyewe afya mgogoro mkubwa. Muweke akiba maana hatapata urais aidha kwa afya au ufisadi
 
Walizusha Lowassa ni fisadi wakashindwa. Wakaja na Angenda mpya Lowassa ni mgonjwa wakashindwa. Hakuna aliyewahi kusikika akitaja mwandosya ni mgonjwa humu jamvini.

Lowassa ni zaidi ya mmjuavyo, ni zaidi ya mnavyo muona. Yeye yupo na leo nawaeleza kuwa ametumwa na Mungu kuja kuliokoa hili taifa. Ndiyo maana baada ya genge la watu fulani la wasaka madaraka kushindwa wananza kusema oh sijui kakutana Nchimbi, Oh sijui kakodi ndege kaenda kanda ya ziwa amerudi akiwa amechoka.

Afya ya Lowassa ni imara kweli. Yeye yuko kimya wamemtukana matusi yamewakauka vinywani mwenu hajasema chochote kwa sababu ana busara za kutosha alizopewa na mwenyezi Mungu.

Hajatangaza nia kama hao wengine. Nahisi siku atakapotamka wale mnaompinga hapa watachanganyikiwa.

Lowassa ukimya wako ni busara. Wanapokuombea mabaya kila siku ndiyo Mungu anatoa ufunuo kama lowasa akiwa rais tutaongozwa na makamu kama yale ya OMAR YARADOUA NA GUDLUK JONATHAN hivo nyie wapiga debe mchague mgombea mwenza awe mzul
 
Huyo jamaa yenu fisadi amejaribu kuwaua wenzie ili apunguze ushindani lakini Mungu kamuumbua sasa watashindana naye wakati yeye mwenyewe afya mgogoro mkubwa. Muweke akiba maana hatapata urais aidha kwa afya au ufisadi

Kamuua nani? Huko kumzushia ndivyo mnazidi kumpandisha. Yupo sawa kabisa kiafya hayo mgonjwa yatawarudia wenyewe. Time will tell
 
Back
Top Bottom