MONTESQUIEU
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 847
- 80
Mh asije tu na yeye akatuacha tena.lol!
Hata kama kawatusi lakini ukweli unabaki palepale
Sumaye amewambia hamjiwezi mpaka mfumo was ccm uwasaidie viongozi,Hanna namnamwandosya unasubiri nini huko ccm?
kumbe! juzi jamaa mmoja aliniambia kuwa eti rais wa mbeya ni sugu.
Mwandosya nimeamini ni Profesa halali Tanzania akifuatiwa na mwenzie waliosoma pamoja pale Ud Prof Mayo mjasiriamali wa Real Estate kule Changanyikeni.
We mtoto wa 86 Prof. Mwandosya anakuwaje schoolmate wako.
Prof. mwandosya my school mate umenena vema.
Hongera kwa busara ulizopewa .
Wapumbavu nyie tena malofa