Prof. Mwandosya amchana Mkapa

Prof. Mwandosya amchana Mkapa

Mayo ukimuita Prof Mayo anaweza kukupiga!

Yeye anapenda aitwe Prof. Dr. Mayo!

Ha ha ha ha ha.
Kumbe mzee ni mtata hadi kwenye majina?
Namuonaga tu akiwa anakamua rent zake toka kwa wapangaji wake.
Ni mtata hamna mfano.
Tehe tehe tehe tehe
 
Umeseme kweli maana akili yako inasadifu ulichoandika na hata upeo wako na kibajaji sawa kabisa

Kwani tumeshakombulewa. Vipi umasikini, elimu, na maradhi? Tena tusisahau rushwa na ufisadi.
 
Mwandosya ana sifa kuu moja nayo ni Kiongozi. Kumbuka hata issue ya ESCROW aliluwa kinyume na serikali kwa msimamo wake wa wazi uliokuwa ukisimamia ukweli. Hakika huyu ni mtu muhimu sana kwa siasa za mageuzi kwa sasa sijui anachelewa nini kuja UKAWA!!!!!!!!!! karibu sana Mwandosya

acha unafki ww! Sku akija kuwachana ukawa mtaanza kumtukana
 
Msameheni buree
 

Attachments

  • 1440574664467.jpg
    1440574664467.jpg
    19.3 KB · Views: 129
acha unafki ww! Sku akija kuwachana ukawa mtaanza kumtukana

nahisi hujanielewa. huyu mh hataweza kufanya ujinga kama wanaofanya wengine kwani ana kinga ya asili ya maadili ya uongozi.
 
What is you... ? It is a free country practicing DEMOCRACY which is FREE 2 ALL

Democracy isnt putting words into someones mouth or intergrating your feelings into others opinion and reporting it as their opinion!This is a free country but not liers country!
 
Hata kama kawatusi lakini ukweli unabaki palepale
Sasa mtu kama mpumbavu mnataka aitweje,mtu mpumbavu ni yule leo anasema hili na kesho anasema lingine,wapumbavu wapo wengi,Mkapa hakukosea hata kidogo,ikulu haiwezi na haitawezwa kuongozwa na wapumbafu.
 
Mkapa nilimuamini na kumheshimu kama Kiongozi bora kati ya wengi waliowahi kuwepo, lakini alichokifanya inanifanya nikubali kuwa UKAWA wapo sahihi kusema kwamba katika ccm hata angelishuka malika kutoka mbinguni baada ya muda angejikuta amekuwa SHETANI MKUBWA. haya yamedhihirika mapema. Hatuitaki ccm kwakuwa mfumo wao umeshindwa kushughulikia matatizo ya nchi kutokana na mawazo mgando yasiyotambua kuwa mtoto wa juzi, jana, leo na kesho wanatofautiana ki-fikra. Bora waachie nchi watu wengine tuipange nchi upya na si kulazimisha wakati wameshinda. Mtu akiajiriwa na baadaye kushindwa kutimiza malengo ya mwajiri ni sharti ataachishwa kazi, hivyo tutawaachisha kazi hao mamwinyi kina MKAPA wote na kisha kuwapa malofa ambao ni sisi UKAWA na kisha wapime speed. Good day sir and every one!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom