nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,862
- 5,797
| ||
|
| ||
|
Mwandosya siku zote anajitahidi kusimamia haki. Nadhani miongoni mwa mawaziri ambao rais anawaweka kwenye serikali yake hata kama hawapendi ni huyu prof. Mwandosya. Akimuacha tu, Mbeya baibai kwa ccm.
"Hii inaniuma sana, watoto wadogo tuliowazaa tunashuhudia wakifa hivi hivi, mazingira ya kifo hiki yamenisikitisha sana, naomba kifo cha Mwangosi kiwe cha mwisho, sipendi kusikia tena mambo kama haya yakitokea tena, iwe mwisho, iwe mwisho kabisa," alisema Prof. Mwandosya.
Kwani marehemu alikuwa mtoto mdogo? Au Waziri alikuwa anaomboleza msiba wa mtu mwingine? Kwa hiyo huyu mtu mzima kufa ni sawa? Anyhow, inaweza kuwa ni tatizo la jumla la Mtanzania, hatujui kuwasiliana na haswa mawasiliano ya umma.
The more substantive problem, however, is his sense of tolerance and foot-dragging attitude toward the blood sport culture within law enforcement. "Iwe mara ya mwisho... iwe mara ya mwisho..." iwe mara ya mwisho mara ngapi?
Kiongozi wa kweli, shupavu ange demand responsibility, that somebody be held accountable for these inexcusable actions, sio arudie rudie iwe mwisho... sitaki kusikia tena... utadhani anamkanya mwanae wa chekechea.
Kwa mtu anaeongelewa kugombea urais hii inakupa picha ya haraka, a sneak peek, into his character and abilities, kwamba ni kiongozi dhaifu dhaifu kama Pinda fulani hivi, mikwala mingi ya kupiga marufuku vitu ambavyo vinatokea kila mara lakini hawana backbone ya kuwa na misimamo dhabiti.
Mwandosya siku zote anajitahidi kusimamia haki. Nadhani miongoni mwa mawaziri ambao rais anawaweka kwenye serikali yake hata kama hawapendi ni huyu prof. Mwandosya. Akimuacha tu, Mbeya baibai kwa ccm.
Kwani marehemu alikuwa mtoto mdogo? Au Waziri alikuwa anaomboleza msiba wa mtu mwingine? Kwa hiyo huyu mtu mzima kufa ni sawa? Anyhow, inaweza kuwa ni tatizo la jumla la Mtanzania, hatujui kuwasiliana na haswa mawasiliano ya umma.
The more substantive problem, however, is his sense of tolerance and foot-dragging attitude toward the blood sport culture within law enforcement. "Iwe mara ya mwisho... iwe mara ya mwisho..." iwe mara ya mwisho mara ngapi?
Kiongozi wa kweli, shupavu ange demand responsibility, that somebody be held accountable for these inexcusable actions, sio arudie rudie iwe mwisho... sitaki kusikia tena... utadhani anamkanya mwanae wa chekechea.
Kwa mtu anaeongelewa kugombea urais hii inakupa picha ya haraka, a sneak peek, into his character and abilities, kwamba ni kiongozi dhaifu dhaifu kama Pinda fulani hivi, mikwala mingi ya kupiga marufuku vitu ambavyo vinatokea kila mara lakini hawana backbone ya kuwa na misimamo dhabiti.
Asubiri atajionea, si hapo hapo Mbeya kuna Mkutano wa BAVICHA na Polisi wamejialika wenyewe kwa wingi?...hapo hapo Mwanjelwa!!
Tena bye bye for good.Mwandosya siku zote anajitahidi kusimamia haki. Nadhani miongoni mwa mawaziri ambao rais anawaweka kwenye serikali yake hata kama hawapendi ni huyu prof. Mwandosya. Akimuacha tu, Mbeya baibai kwa ccm.
Ikikombolewa atakuwa mmoja wa washauri wa Rais.
Tutamwambia atuletee 0713 yako tuishughulikieMshapanga kufanya fujo? haya tumeni sms nyingine kwa Mwema. Ile mlisema aandae risasi? Hii mtasema aandae nini?